Nipo hapa mianzini ,,ulizia arusha night park AKA ma...ta..ko Bar
Jamani a town nimepamiss ila nasikia kuna baridi ni wakati gani mwafaka wa kuja huko?
akishafika hapo bar???
malizia ueleweke.
Bora ubaki tu hukohuko Tauni kuna kubwa lipi zaidi ya homa ya panya!
mh!! Huko sitakuja
ukikaribia kutangaza ile tenda ndio nitaweka bandiko la kuja Mwz Judgement