Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
Mgombea wa Ubunge aliyeshindwa vibaya Arusha OlaIs Mollel (Monobangi) ametoa vioja na kusema magari ya polisi yamewafanya wananchi wasijitokeze kwenye uchaguzi wa mbunge uliofanyika jumapili iliyopita, akuishia hapo ameendelea kusema kwa wale wote aliyowapo unga wa kupikia ugali na ambao hawajampa kura anategemea kuvunja chungu siku za karibuni.