Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Arusha: Mgombea wa Chadema Kata ya Kaloleni pamoja na msaidizi wake wamepigwa vibaya na green guard.Diwani ana hali mbaya amezirai na msaidizi wake amepigwa visu hali yake ni mbaya sana Polisi wamedhibitisha
N:B Majina ya Green Guard walifanya kitendo hichi ni Iddy Mkulu/Moja/Ringooo wa Daraja Mbili na Jumanne Mjusi
Taarifa zinazidi kusema kuwa Mpaka sasa hivi wanatembea na Gari aina ya Noah
N:B Majina ya Green Guard walifanya kitendo hichi ni Iddy Mkulu/Moja/Ringooo wa Daraja Mbili na Jumanne Mjusi
Taarifa zinazidi kusema kuwa Mpaka sasa hivi wanatembea na Gari aina ya Noah