wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,570
Inabidi ile slogan ya cuf ya JINO kwa JINO Ikumbukwe sasa
Haiwezekani hio,maana Mbowe ni laini sana labda Chadema ingekua chini ya vichwa vigumu kama waitara au lema.
Inabidi ile slogan ya cuf ya JINO kwa JINO Ikumbukwe sasa
Hivi huyu jamaa sasa hivi anajishughulisha na mishe gani? Au ameshaenda kutafuta pori la kulima
Amani yetu imeshikiliwa na Mbowe na sio polisi.Haiwezekani hio,maana Mbowe ni laini sana labda Chadema ingekua chini ya vichwa vigumu kama waitara au lema.
Haiwezekani hio,maana Mbowe ni laini sana labda Chadema ingekua chini ya vichwa vigumu kama waitara au lema.
Amani yetu imeshikiliwa na Mbowe na sio polisi.
Hivi huyu jamaa sasa hivi anajishughulisha na mishe gani? Au ameshaenda kutafuta pori la kulima