Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 10,414
- 18,438
Arusha ambayo ndio kitovu Cha utalii nchini imekimbiwa na idadi kubwa ya watalii waliokuwa nchini na waliokuwa waje kutembelea vivutio mbali mbali vya utalii ndani ya Jiji hili la kitalii ukizingatia kipindi hichi ni msimu wa utalii almaarufu High season. Ambapo kunakuwaga na mafuriko ya watalii.
Hali hiyo imeeelezwa kusababishwa na vurugu za uchaguzi za October 29 na pia maandamano yanayodaiwa yatafanyika December 9.
Makampuni mengi na hoteli nyingi za kitalii wameshindwa wafanye Nini juu ya sakata hili kutokana na idadi kubwa ya watalii kusitisha safari zao za kuja nchini
Hali hiyo imeeelezwa kusababishwa na vurugu za uchaguzi za October 29 na pia maandamano yanayodaiwa yatafanyika December 9.
Makampuni mengi na hoteli nyingi za kitalii wameshindwa wafanye Nini juu ya sakata hili kutokana na idadi kubwa ya watalii kusitisha safari zao za kuja nchini