Tetesi: Arusha: Maandamano yaanza upya Leo

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
10,891
Reaction score
19,718
Hali sio hali Kwa Sasa Maandamano yameanza upya Morombo, Ngaramtoni na arumeru.

Ntaleta update ya kinachoendelea.

Baadhi ya maeneo yenye vurugu wananchi wapewa amri ya kutoka kutoka nje .
Madai ya wananchi ni kuhusiana na kupewa miili ya ndugu zao ambayo haijulikani ilipo Hadi Sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…