Wakuu hii ni barafu leo ArushaNimekuwekea picha ya paa; kinachooneka cheupe ni barafu
Ni kweli kabisa si unakumbuka mwaka juzi wakulima walisumbuka sana na viwavijeshiWanasema hiyo hali ina uhusiano na viwavi jeshi kwenye huo mwaka...!
Kwanini unasema hivi ? Ni kweli imenyesha mvua ya mawe ya kushato
Traffic light sealander bridgeNdio Maana kunasehem nilipita nikaona Viwango vya Joto Miji mbalimbali na Arusha was 16 Centigrade