Arusha: Lema 'aendelea kuongoza' akiwa mahabusu

Arusha: Lema 'aendelea kuongoza' akiwa mahabusu

Apambane tu hata Nelson Mandela alikaa jera lakn baadae wakamkubali hvo IPO SKU lema atakubalika tu...nakuwa kiongoz mkubwa hapa Tz, tunamubea sana ashnde kes zake na ikiwezekana 2020 Tumpe urais.
.....
.....Mkuu umetisha shukrani mingi sana
 
.....
.....huku chuga imesha batizwa LEMA Road
Lahaula
Mwambieni Lema awaambie watu wake ukweli kuwa hiyo barabara ni ya nani asiibw ujiko kwa vitu havimuhusu .
Akifanya hivo ina maana kuwa kaishiwa
 
Lahaula
Mwambieni Lema awaambie watu wake ukweli kuwa hiyo barabara ni ya nani asiibw ujiko kwa vitu havimuhusu .
Akifanya hivo ina maana kuwa kaishiwa
.....
.....kodi za wanaArusha
 
.....
.....kodi za wanaArusha
Ulaghali huu..
Unajua hili jukwaa linazo data kibao za hiyo barabara na hata uzinduzi wake uko humu?
Afu unadanganya watu kuwa barabara imejengwa kwa kodi za wana Arusha...??
Kuweni na aibu hata kidogo.
 
Ulaghali huu..
Unajua hili jukwaa linazo data kibao za hiyo barabara na hata uzinduzi wake uko humu?
Afu unadanganya watu kuwa barabara imejengwa kwa kodi za wana Arusha...??
Kuweni na aibu hata kidogo.
......
......nabado tren ya umeme Arusha to Nairobi
 
Habari yoyote isiyo na ushahidi, ni taarabu tu! Hapo juu, Ruttashobolwa ameomba mfano mmoja tu wa maamuzi yaliyofanywa baada ya kuomba ushauri kutoka kwa Lema. Kimya!

Kama wewe unao, uweke hapa na nitaomba samahani kwa kauli yangu. Ukikaa kimya, mi niko sawa!!!
Inaonekana humpendi tu Lema ndio maana umeharakisha kuita 'taarabu' hicho kilichoandikwa, kutoonyeshwa ushahidi hakuondoi ukweli, kwamba madiwani wa Arusha wamekuwa wakimwomba ushauri Lema wa namna ya kuendesha mambo jijini humo, kama ambavyo ilikuwa ikifanyika kabla hajawekwa mahabusu. Hapa unataka upewe ushahidi wa namna gani? Wa Lema akitoa ushauri kwa madiwani? Ulitakiwa wewe unayeiona kuwa kilichoandikwa ni "taarabu" uonyeshe "utaarabu" wake!
 
Unawatesa wazazi wako, hebu jitokeze au mpigie simu kama mzazi hisia za kukukosa mwanae zinamuumiza.
Acha uoga Ni aibu sana kama wewe Ni wa jinsia ya "ME"
 
Akili ya bavicha bana...bunge wenyewe halizidi wabunge 400!
Hiyo ikimaanisha CCM haina mbunge hata mmoja. Wale unaowaona wanagongagonga meza kama mzee Morris akipiga ngoma ujue si wabunge bali naniliu... (tumia masabur.i hapo kunielewa)
 
Post ya ajabu kabisa hii. Inawezekana vipi Mzee kama wewe uandike habari kama mashairi ya taarabu!
Sasa hapo taarabu iko wapi mkuu? Au ni kwa kua hujawahi kua Bos mahali na ukaingia gerezani? Sikiliza sasa nkuambie...

Kuna majambazi Yale kamili kamili yapo gerezani huenda hata mwaka wa 5 au wa 7 sasa lkn still wanaendesha gangs za ujambazi na wanapiga pesa htr,na mgao anapanga yy aliye gerezani.

Kuna drug dealer wapo gerezani lkn still wanaendesha biashara za madawa kama kawaida.

For your information, polisi Mara nyingi huwategemea baadhi ya mahabusu kupata information za baadhi ya matukio makubwa ya uhalifu.

Sasa achilia mbali Lema ambae wanamfuata na kuomba kujadili nae kitu kando. Mbona hii ni hundred pasee possible.

Dunia ni zaidi ya uijuavyo mkuu!!
 
.....
.....LEMA umetisha Arusha kama London Sakina Mianzini Sanawari Philips Kimandolu Mpaka Tengeru road ya kutisha
Wacha mpa promo za uongo..huo mradi wa barabara ni wa EAC funded by ADB..hakuna chama cha siasa hapo
 
KUNA VITU V 3
1.UVUMILIVU
2.HEKIMA
3.BUSARA

Sasa kati ya hivyo sijui ni kipi ukiwa nacho,watu watakuona mjinga,lakini mwisho wa siku unakuwa umeokoa pakubwa.
 
Wanafikiri kumuweka mahabusu ni kumfanya wananchi wamshau lakini ndio wanamkumbuka zaidi maana kila siku wanauliza ameshapata dhamana?! Akiwa mtaani hakuna aneuliza leo Lema yuko wapi?, Nyota ya mtu kaumbiwa na Mungu huwezi kuizima hata atakapokuwa mfu.
 
Wacha mpa promo za uongo..huo mradi wa barabara ni wa EAC funded by ADB..hakuna chama cha siasa hapo
Hizo fund mbona hazikufanyika kipindi cha felix mrema au kinana? Acheni wivu kila jambo hunda na nyota baba, na Arusha now watu wanaishi kwa kufaidi nyota ya muwakilishi wao.
 
Hivi lema ana kesi ya mauaji? Mbona hawataki kumwachia? Au kusudi
 
Back
Top Bottom