Arusha: Lema 'aendelea kuongoza' akiwa mahabusu

Arusha: Lema 'aendelea kuongoza' akiwa mahabusu

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA) ambaye yuko mahabusu katika Gereza la Kisongo anaendelea kutenda na kumudu kazi zake akiwa mahabusu. Taarifa za kuaminika zinaonesha kuwa Lema huombwa mawazo, maelekezo na ushauri kabla ya kufanyika jambo lolote Arusha.

Mambo yote yafanyikayo kwa kujadiliwa au kuamriwa na Baraza la Madiwani la Arusha ambalo linadhibitiwa na CHADEMA yanahusisha mawazo na melekezo ya Mbunge Lema. Taarifa zinaonesha kuwa Lema yu katika afya njema na mwenye ari kubwa ya kutenda kazi.

Lema, Mbunge wa kwanza wa upinzani jimbo la Arusha Mjini aliyeweza kutetea kiti chake cha Ubunge, anahusishwa na kuhusika na kila jambo jimboni Arusha katika kulipanga, kulijadili na kuliamua. Lema anatajwa kuwa ni mmoja wa Wabunge machachari wa upinzani nchini.

Yuko mahabusu baada ya kukosa dhamana katika mahakama huko Arusha katika kesi zake mbili za jinai. Bado Lema anapambania kupata dhamana huku akiendelea na kesi zake za jinai.

Mwafaaaaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Kamanda hebu tupe japo mfano wa jambo moja ambalo hutakiwa kufanyika au ambalo limewai kufanyika ambapo Lema aliombwa kwanza ndilo likafanyika..
Pia twambie aliombwa kama nani? Lema ana mamlaka gani kwenye jambo gani kwenye kitu gani ambapo ni lazima atoe ruhusa ndipo lifanyike au kifanyike?
Hebu tueleze ni nani humuomba ruhusa ili kufanya jambo fulani?
 
Post ya ajabu kabisa hii. Inawezekana vipi Mzee kama wewe uandike habari kama mashairi ya taarabu!
Yako ndio ya ajabu zaidi maana imekuwa ni zaidi ya mashairi ya taarabu! Weka hoja watu wakuelewe!
 
Yako ndio ya ajabu zaidi maana imekuwa ni zaidi ya mashairi ya taarabu! Weka hoja watu wakuelewe!
Habari yoyote isiyo na ushahidi, ni taarabu tu! Hapo juu, Ruttashobolwa ameomba mfano mmoja tu wa maamuzi yaliyofanywa baada ya kuomba ushauri kutoka kwa Lema. Kimya!

Kama wewe unao, uweke hapa na nitaomba samahani kwa kauli yangu. Ukikaa kimya, mi niko sawa!!!
 
Kamanda hebu tupe japo mfano wa jambo moja ambalo hutakiwa kufanyika au ambalo limewai kufanyika ambapo Lema aliombwa kwanza ndilo likafanyika..
Pia twambie aliombwa kama nani? Lema ana mamlaka gani kwenye jambo gani kwenye kitu gani ambapo ni lazima atoe ruhusa ndipo lifanyike au kifanyike?
Hebu tueleze ni nani humuomba ruhusa ili kufanya jambo fulani?
Jamaa amekula cha Olkokola kabla hajaandika thread.
 
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA) ambaye yuko mahabusu katika Gereza la Kisongo anaendelea kutenda na kumudu kazi zake akiwa mahabusu. Taarifa za kuaminika zinaonesha kuwa Lema huombwa mawazo, maelekezo na ushauri kabla ya kufanyika jambo lolote Arusha.

Mambo yote yafanyikayo kwa kujadiliwa au kuamriwa na Baraza la Madiwani la Arusha ambalo linadhibitiwa na CHADEMA yanahusisha mawazo na melekezo ya Mbunge Lema. Taarifa zinaonesha kuwa Lema yu katika afya njema na mwenye ari kubwa ya kutenda kazi.

Lema, Mbunge wa kwanza wa upinzani jimbo la Arusha Mjini aliyeweza kutetea kiti chake cha Ubunge, anahusishwa na kuhusika na kila jambo jimboni Arusha katika kulipanga, kulijadili na kuliamua. Lema anatajwa kuwa ni mmoja wa Wabunge machachari wa upinzani nchini.

Yuko mahabusu baada ya kukosa dhamana katika mahakama huko Arusha katika kesi zake mbili za jinai. Bado Lema anapambania kupata dhamana huku akiendelea na kesi zake za jinai.

Mwafaaaaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Jidanganye tu siku utapoingia kule ndo utajua pakoje !
 
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA) ambaye yuko mahabusu katika Gereza la Kisongo anaendelea kutenda na kumudu kazi zake akiwa mahabusu. Taarifa za kuaminika zinaonesha kuwa Lema huombwa mawazo, maelekezo na ushauri kabla ya kufanyika jambo lolote Arusha.

Mambo yote yafanyikayo kwa kujadiliwa au kuamriwa na Baraza la Madiwani la Arusha ambalo linadhibitiwa na CHADEMA yanahusisha mawazo na melekezo ya Mbunge Lema. Taarifa zinaonesha kuwa Lema yu katika afya njema na mwenye ari kubwa ya kutenda kazi.

Lema, Mbunge wa kwanza wa upinzani jimbo la Arusha Mjini aliyeweza kutetea kiti chake cha Ubunge, anahusishwa na kuhusika na kila jambo jimboni Arusha katika kulipanga, kulijadili na kuliamua. Lema anatajwa kuwa ni mmoja wa Wabunge machachari wa upinzani nchini.

Yuko mahabusu baada ya kukosa dhamana katika mahakama huko Arusha katika kesi zake mbili za jinai. Bado Lema anapambania kupata dhamana huku akiendelea na kesi zake za jinai.

Mwafaaaaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Mwana ccm anayejitambua....cc vuta- nkuvute
 
Mi
Mbunge wa kwanza kwa wabunge wote waliowahi kuwa wabunge pale arusha kupata ubunge kwa vipindi 2 mfululizo!!! Na bado atapata kipindi cha 3.....Mungu ampe uhai!!! Wanaotaka kumpoteza watapotea wao kwanza!! Damu ya Yesu itamfunika milele!! Hapana unafiki pale wala uoga!
Mibunge ya ccm Ni kama miumbwa iliyofundishwa kurespond kwa kengele .
 
Back
Top Bottom