TEACHER FRANK MSIGWA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2016
- 537
- 445
Mawakili wafanye nini tena wakati maagizo yote yanatoka juu...mwafaaaaaaKwa hiyo mawakili wake hawana wanachofanya siyo?
Mawakili wafanye nini tena wakati maagizo yote yanatoka juu...mwafaaaaaaKwa hiyo mawakili wake hawana wanachofanya siyo?
Hapa issue ni hesabu. Anachojaribu kusema ni kuonyesha kuwa uwiano uko kwa kiwango gani.Akili ya bavicha bana...bunge wenyewe halizidi wabunge 400!
Ndicho alichoandika au unamlisha maneno?Hapa issue ni hesabu. Anachojaribu kusema ni kuonyesha kuwa uwiano uko kwa kiwango gani.
Sasa anawalipa kwa kazi ipi?Mawakili wafanye nini tena wakati maagizo yote yanatoka juu...mwafaaaaaa
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA) ambaye yuko mahabusu katika Gereza la Kisongo anaendelea kutenda na kumudu kazi zake akiwa mahabusu. Taarifa za kuaminika zinaonesha kuwa Lema huombwa mawazo, maelekezo na ushauri kabla ya kufanyika jambo lolote Arusha.
Mambo yote yafanyikayo kwa kujadiliwa au kuamriwa na Baraza la Madiwani la Arusha ambalo linadhibitiwa na CHADEMA yanahusisha mawazo na melekezo ya Mbunge Lema. Taarifa zinaonesha kuwa Lema yu katika afya njema na mwenye ari kubwa ya kutenda kazi.
Lema, Mbunge wa kwanza wa upinzani jimbo la Arusha Mjini aliyeweza kutetea kiti chake cha Ubunge, anahusishwa na kuhusika na kila jambo jimboni Arusha katika kulipanga, kulijadili na kuliamua. Lema anatajwa kuwa ni mmoja wa Wabunge machachari wa upinzani nchini.
Yuko mahabusu baada ya kukosa dhamana katika mahakama huko Arusha katika kesi zake mbili za jinai. Bado Lema anapambania kupata dhamana huku akiendelea na kesi zake za jinai.
Mwafaaaaaaa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
waulize mkuuKwa hiyo mawakili wake hawana wanachofanya siyo?
Yako ndio ya ajabu zaidi maana imekuwa ni zaidi ya mashairi ya taarabu! Weka hoja watu wakuelewe!Post ya ajabu kabisa hii. Inawezekana vipi Mzee kama wewe uandike habari kama mashairi ya taarabu!
Akili zako zenyewe hazijielewi, kama vipi cross multplication utapata jibu!Akili ya bavicha bana...bunge wenyewe halizidi wabunge 400!
Aliota mapembe wameongezea MKIA,Mawakili wafanye nini tena wakati maagizo yote yanatoka juu...mwafaaaaaa
Habari yoyote isiyo na ushahidi, ni taarabu tu! Hapo juu, Ruttashobolwa ameomba mfano mmoja tu wa maamuzi yaliyofanywa baada ya kuomba ushauri kutoka kwa Lema. Kimya!Yako ndio ya ajabu zaidi maana imekuwa ni zaidi ya mashairi ya taarabu! Weka hoja watu wakuelewe!
Kuna kosa ganiPost ya ajabu kabisa hii. Inawezekana vipi Mzee kama wewe uandike habari kama mashairi ya taarabu!
Unawatesa wazazi wako, hebu jitokeze au mpigie simu kama mzazi hisia za kukukosa mwanae zinamuumiza.
Mandela sio!?Lema mmoja sawa na wabunge 1000 wa ccm!
Ili wapambane na maagizo kutoka juuSasa anawalipa kwa kazi ipi?
Najua inauma lkn vumilia tuu iingie vzuri......Post ya ajabu kabisa hii. Inawezekana vipi Mzee kama wewe uandike habari kama mashairi ya taarabu!
Jamaa amekula cha Olkokola kabla hajaandika thread.Kamanda hebu tupe japo mfano wa jambo moja ambalo hutakiwa kufanyika au ambalo limewai kufanyika ambapo Lema aliombwa kwanza ndilo likafanyika..
Pia twambie aliombwa kama nani? Lema ana mamlaka gani kwenye jambo gani kwenye kitu gani ambapo ni lazima atoe ruhusa ndipo lifanyike au kifanyike?
Hebu tueleze ni nani humuomba ruhusa ili kufanya jambo fulani?
Jidanganye tu siku utapoingia kule ndo utajua pakoje !Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA) ambaye yuko mahabusu katika Gereza la Kisongo anaendelea kutenda na kumudu kazi zake akiwa mahabusu. Taarifa za kuaminika zinaonesha kuwa Lema huombwa mawazo, maelekezo na ushauri kabla ya kufanyika jambo lolote Arusha.
Mambo yote yafanyikayo kwa kujadiliwa au kuamriwa na Baraza la Madiwani la Arusha ambalo linadhibitiwa na CHADEMA yanahusisha mawazo na melekezo ya Mbunge Lema. Taarifa zinaonesha kuwa Lema yu katika afya njema na mwenye ari kubwa ya kutenda kazi.
Lema, Mbunge wa kwanza wa upinzani jimbo la Arusha Mjini aliyeweza kutetea kiti chake cha Ubunge, anahusishwa na kuhusika na kila jambo jimboni Arusha katika kulipanga, kulijadili na kuliamua. Lema anatajwa kuwa ni mmoja wa Wabunge machachari wa upinzani nchini.
Yuko mahabusu baada ya kukosa dhamana katika mahakama huko Arusha katika kesi zake mbili za jinai. Bado Lema anapambania kupata dhamana huku akiendelea na kesi zake za jinai.
Mwafaaaaaaa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Mwana ccm anayejitambua....cc vuta- nkuvuteMbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA) ambaye yuko mahabusu katika Gereza la Kisongo anaendelea kutenda na kumudu kazi zake akiwa mahabusu. Taarifa za kuaminika zinaonesha kuwa Lema huombwa mawazo, maelekezo na ushauri kabla ya kufanyika jambo lolote Arusha.
Mambo yote yafanyikayo kwa kujadiliwa au kuamriwa na Baraza la Madiwani la Arusha ambalo linadhibitiwa na CHADEMA yanahusisha mawazo na melekezo ya Mbunge Lema. Taarifa zinaonesha kuwa Lema yu katika afya njema na mwenye ari kubwa ya kutenda kazi.
Lema, Mbunge wa kwanza wa upinzani jimbo la Arusha Mjini aliyeweza kutetea kiti chake cha Ubunge, anahusishwa na kuhusika na kila jambo jimboni Arusha katika kulipanga, kulijadili na kuliamua. Lema anatajwa kuwa ni mmoja wa Wabunge machachari wa upinzani nchini.
Yuko mahabusu baada ya kukosa dhamana katika mahakama huko Arusha katika kesi zake mbili za jinai. Bado Lema anapambania kupata dhamana huku akiendelea na kesi zake za jinai.
Mwafaaaaaaa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Mibunge ya ccm Ni kama miumbwa iliyofundishwa kurespond kwa kengele .Mbunge wa kwanza kwa wabunge wote waliowahi kuwa wabunge pale arusha kupata ubunge kwa vipindi 2 mfululizo!!! Na bado atapata kipindi cha 3.....Mungu ampe uhai!!! Wanaotaka kumpoteza watapotea wao kwanza!! Damu ya Yesu itamfunika milele!! Hapana unafiki pale wala uoga!