instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 11,381
- 14,186
Na kakwambia hiyo ya muleba ni main roadHiyo ambayo kwanza ndio mnajenga chá mtoto cheki hii ya huko ndani ndani machame Wala sio main roadView attachment 1460309
Na kakwambia hiyo ya muleba ni main roadHiyo ambayo kwanza ndio mnajenga chá mtoto cheki hii ya huko ndani ndani machame Wala sio main roadView attachment 1460309
labda yeye hatakufa.Kwanza kabisa hakuna Moshi na Kilimanjaro, ukishasema Kilimanjaro tayari Moshi ipo ndani yake
Pili Mengi kafa na miaka 75, Mrema kafa na miaka 68, huyo msuya sijui kafa na miaka mingapi ila anaonyesha naye alikuwa ni zaidi ya 65, kuna Ndesamburo amekufa na miaka mingi tu na yeye, na bado wengine wengi tu wanadunda
Sasa umelinganisha na umri upi hadi kusema wanakufa haraka? Wastani wa kuishi kwa mtanzania ni umri gani?
Na je Kilimanjaro au Arusha zina matajiri wangapi hadi uhitimishe kwa kusema kuwa wanakufa vifo vya mapema kwa kuangalia hao watatu uliowataja? kama kuna matajiri labda 100, kisha ukataja watatu ambao walikufa na umri zaidi ya miaka 65 una hitimisha kuwa matajiri wa mikoa fulani wanakufa vifo vya haraka? Elimu yako ni kiasi gani ndugu?
Uzi wako unataka uvutie comments kuwa wanauana na comments kama hizo utazipata sababu ndivyo Watanzania walivyo, mawazo ya kimaskini kuwajadili maisha ya watu