Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,801
- 11,334
Habari iliwekwa kitambo humu.Anayejua kabisa kwamba mtoto ni wa kwake ni marehemu mwenyewe; Mambo mengine tuyapokee kama ambavyo yanasemwa ila tusiyaamini sana.
Dogo ana miaka 24. Mama alimzaa mapema akiwa na miaka 16. Na ilielezwa mpaka hIstoria ya maisha yake, taabu na mahangaiko mpaka kupata mafanikio.