Arusha: Kijana aliyemuua mama yake akiri kuhusika, polisi yafunga kazi

Unahis kuna chembechembe za wivu wa kimapenzi....!!?
Kwasisi wana intelijensia tunasema, yawezekana kijana alikua anakerwa na tabia ya mamaake kuliwa na mijamaa aliyokua ikitanua kwa fedha na magari ya maza. Hali hiyo pengine ndio ilipelekea ugomvi wa mara kwa mara kati ya kijana na mama yake, na hata kusababisha kijana kufikia hatu mbaya kama hivyo.
Hii ni moja ya madhara makubwa kwenye malezi ya mtoto bila baba
 
Mh mjumbe, hii ni moja ya madhara ya kumlea mtoto bila baba kisa tu mama anapesa.
Huyu kijana kalelewa kwa madeko na kwakifupi hana adabu kabisa.
Yawezekana kijana alikua anapata wivu sana kwenye mahusiano ya mamaake na ndio ikapelekea ugomvi wa mara kwa mara.
Ni kweli,kinachotokea ni kuwa mtoto analelewa katika hali ya kudekezwa sana,anathaminishwa kila kitu pale ni chake,mama kwa mapenzi yake anafikia mpaka kumpa mtoto uhuru mkubwa wa kuwa ndio mshauri wake wa kila kitu,matumizi ya pesa na hata kumhusisha na mahusiano yake ya kimapenzi,mtoto hufikia mpaka point anakwambia huyu simtaki namtaka yule kwakuwa tu umeshampa uhuru mkubwa sana,ataanza kuzuia hiki atazuia kile,kifupi ni kuwa huwa hawana adabu kabisa,na mkizidi kwenda mbali atakuwa na full control ya maisha ya mama yake,sasa ukienda kinyume na anavyotaka yeye ndio yanatokea hayo alioyafanya.Ndio maana ni hatari sana kuoa au kuwa na mahusiano na wamama ambao tayari wana watoto wakubwa hasa wa kiume,especially watoto wasio wako...
 
Baadhi ya changa moto kwa "Single mothers" aide.
Yaa, huyu kijana angekuwa anakaa na baba na mama asingekuwa na ubavu wa kumuua mama yake. Akina mama wanasumbuliwa na ubishi, hawana uwezo wa kutoa malezi bora kwa watoto wa kiume, mara nyingi wanaishia kuwa na tabia za hovyo.........wakati mwingine hasa kwa mtoto wa kiume ni bora kumpeleka mapema kwa baba yake au ndugu zake kuliko kumlea kama single mother......
 
Back
Top Bottom