Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Usilinganishe Mbaazi na kodi wewe gambaMbaazi ukikosa maua........
Usilinganishe Mbaazi na kodi wewe gambaMbaazi ukikosa maua........
Usilinganishe Mbaazi na kodi wewe gamba
Kwahiyo kuongoza jimbo ni sawa kuiba hela Kama kawaida yenu?"Kuongoza jimbo sio rahisi kama ku sip mbege" by unknown great thinker in JF.
Kwahiyo kuongoza jimbo ni sawa kuiba hela Kama kawaida yenu?
Mimi Moshi hakunihusu niulize kuhusu manispaa ya Mtwara wewe gambaVipi manispaa ya Moshi?
Mimi Moshi hakunihusu niulize kuhusu manispaa ya Mtwara wewe gamba
Mkuu JF kuna Great Thinkers...
Umeipata wapi hii kuwa "Arusha ndio mji mkuu wa maendeleo ukiachia Dar"
Tufahamishe mkuu.
Ni kweli kabisa kwasababu kodi yote inayokusanywa na serikali ya ccm inaliwa au kuwekwa kwenye akaunti binafsi huko uswisi
Sijui Mimi naishi Arusha ipi, namjua Lema vizuri na kimsingi sikuwa anaona anachokifanya Kmart Mbunge tofauti na kukukutana na wale vijana wake wa unga limited na kutafuta fujo
we niambie mji wenye mvuto, maendeleo na amani kama arusha..maana hata Dar hakuna amani kama A town ilivyo :biggrin1:
Vipi Mwanza Madiwani wa Chadema pamoja na Meya wa Chadema wanatafuna fedha za halmashauri ya Jiji la Mwanza...wamepitisha kodi mpya kupaki gari kutwa Sh900 piga hesabu mfano magari 1000 kwa mwezi kiasi gani na kwa mwaka kiasi gani?
Meya katafuna pesa mpaka wamemtimua kwa ufisadi Mwanza wanajuta kuijua Chadema.
Uchafu wa mji wa arusha hausiani na mbunge bali mkuu wa mkoa ambae katokea ccm. Zaidi ya kua na propaganda sioni cha maana anachofanya... Arusha ndio mji mkuu na wa maendeleo ukiachia dar sasa sijui kwanini serikali haiangalii vizuri.. Ningekua mi ni rais ungekuta mkuu wa mkoa wa arusha nishampiga chini siku nyingi
Arusha wahusi wa ccm hawatuwezi
Mkuu bora hao walio thubutu kutimua kuliko ccm ambayo bado inakumbati wezi wa pesa ya RadaVipi Mwanza Madiwani wa Chadema pamoja na Meya wa Chadema wanatafuna fedha za halmashauri ya Jiji la Mwanza...wamepitisha kodi mpya kupaki gari kutwa Sh900 piga hesabu mfano magari 1000 kwa mwezi kiasi gani na kwa mwaka kiasi gani?
Meya katafuna pesa mpaka wamemtimua kwa ufisadi Mwanza wanajuta kuijua Chadema.
Kwi! Kwi! Kwi! Mwanza na musoma nako ni kaskazini?Moshi ndio ile Jamhuri yenu ya kaskazini?