Sasa kwani lini na nani aliwahi kusema Arusha ni zaidi ya Mwanza?
Au unajitekenya na kucheka mwenyewe.
Arusha ni kama Geneva interms of enviroment,tourism na hali ya hewa.ktk hilo mwanza haioni ndani ila kwa kipato mz watamzidi lakini pia tukiwaondoa wachaga wote mwanza na kuwaleta arusha basi gata GDP ya mwanza itashuka na Arusha itapanda.
Hutaki basi mfate mwendazake