Arusha: Freeman Mbowe avishwa vazi rasmi la kimila la Wamasai na kusimikwa kuwa kiongozi wao

Vikao vya Chadema ni Full Sanitizer na Barakoa , picha inajieleza
Sanitizer na barakoa na chanjo hazisaidii. Kinachosaidia ni kuwa umbali wa mita 3 kati ya mtu na mtu, kuepuka mikusanyiko hasa ya kisiasa ambayo inajulikana kwa kurusha mapovu wanapozungumza eg piiiiiiiiiiiìiiiiiipoooooooooooooooziiiiiiiiiiii pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahh

Hapo lazima kunakuwa na mvua ya virus vya corona.
 
Madaktari wa Tanzania bhana !
 
Hao wenye hayo MAVAZI wote matapeli tupu!

Hata Lowassa walimvisha huo uchifu kila kikao.

Mwisho wa safari ni HISTORIA.
Jipeni MOYO.....
 
Mkuu ni vema ukajikita kwenye content ya kilichoandikwa badala ya ukabila
Kwa Wachagga oops CHADEMA ni haki na sawa kuiita Sukuma Gang, lakini ukiambiwa Chagga Gang iliyomuuwa Chacha Wangwe unahamaki ukabila.
 
Mkuu mimi mtu wa Kyela , kijiji cha Kajunjumele , karibu tuvune mpunga
Mtu yeyote anaweza kusema ni Kyela au Tarime. Kwa vile mmejificha kwa kujipachika majina ya ajabu hatuwezi kujuwa ukweli!
 
Sema mnachoshindwa kuelewa ni kuona Mbowe ana njaa na vimilioni vya michango, mtu amewekeza mpaka nje huko aje apambane kula michango ya million mbili
Acha uongo. Mbowe hajawekeza pop[ote nje. Dubai huwa anaenda kwa ruzuku ya serkali itolewayo na serkali. Mbowe is broke long time. Kazi ulevi na zinaa za kupindukia!
 
Acha uongo. Mbowe hajawekeza pop[ote nje. Dubai huwa anaenda kwa ruzuku ya serkali itolewayo na serkali. Mbowe is broke long time. Kazi ulevi na zinaa za kupindukia!
Personal attacks as usual
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…