Arusha CCM kuijibu CHADEMA kesho viwanja mbali mbali

Arusha CCM kuijibu CHADEMA kesho viwanja mbali mbali

Watu wa Arusha hawabebeki hata kwa maroli na pilau,maccm hayapo arusha,kama unabisha muulize Mary Kitanda atakuambia,siyo chatanda ni kitanda!

eee bhana kuna kitu kimenichekesha sana kwenye hii post !
 
Mtahutubiana wenyewe kama kawaida yenu. Hamna Ccm Arusha
 
Mtahutubiana wenyewe kama kawaida yenu. Hamna Ccm Arusha

dada mbona unatumia nguvu nyingi kubishana pasi na sababu. Wenye majibu ni wana Arusha na sio wewe uliyepo nyuma ya keyboard.
 
Hivi kwanini Kinana anaikwepa sana Arusha ambako ni kwao badala yake anapapenda sana Iramba ?

Alikuwa mbunge wa Arusha kwa kipindi kirefu na hakuna la maana lilofanyika zaidi aliachia ujenzi holela na alikuwa anaishi nje ya Arusha. Sasa anaogopa maswali kama hakuwanyinyia kitu cha maana alipokuwa mmbunge wao leo atakuja kuwasaidia kama nani? Amejua jamaa wamejitambua anaogopa kupewa za uso.
 
dada mbona unatumia nguvu nyingi kubishana pasi na sababu. Wenye majibu ni wana Arusha na sio wewe uliyepo nyuma ya keyboard.

Mimi sio dada. Ni baba mtu mzima nijuae siasa za Arusha kama uko nje ya A town unajibu kwa kubembeleza buku saba Lumumba habari ndio hiyo. Muulize Kinana anajua Ccm Arusha ikoje.
 
Back
Top Bottom