Mkya
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 667
- 94
baada ya tundu Lisu na silinde na mdeee kupita Arusha week hii nzima wakiwa na chopa kesho ccm wataunguruma viwanja zaidi ya sita
1 majengo
2 mbauda
3.kilombero
4.kwa chuesi
5. soko kuu
6.kijenge ya juu
lengo kupongeza mchakato mzima wa bunge maaalumu la katiba iliyopendekezwa na kuwaomba wananchi waiunge mkono
squer gari la matangazo leo
1 majengo
2 mbauda
3.kilombero
4.kwa chuesi
5. soko kuu
6.kijenge ya juu
lengo kupongeza mchakato mzima wa bunge maaalumu la katiba iliyopendekezwa na kuwaomba wananchi waiunge mkono
squer gari la matangazo leo