Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,508
- 13,974
Habari za mchana?
Yapata majira ya saa 15:40 mchana wa leo,mgahawa wa Cafe la Aziz,Arusha uliopo karibu na stendi ndogo ya Hiace umefungwa na TRA.
Nilikuwa ndani ya mgahawa nikipata chakula ghafla watu wa TRA wakaingia na kuongea na wahusika na waliposhindwa kupata kile walicho kitaka,wakaamua kufunga milango kwa kufuli yao.
Nikajiuliza inakuwaje mgahawa ambao upo bize kwa wateka kwanini washindwe kulipa KODI?
Au walizoea kufanya kazi kiujanja ujanja?
Poleni sana wateja wenzangu mliozoea kupata chakula mahali hapo.
Wito wangu wangu wafanya biashara kote nchini tulipe kodi,zama zimebadilika hizi!!
Yapata majira ya saa 15:40 mchana wa leo,mgahawa wa Cafe la Aziz,Arusha uliopo karibu na stendi ndogo ya Hiace umefungwa na TRA.
Nilikuwa ndani ya mgahawa nikipata chakula ghafla watu wa TRA wakaingia na kuongea na wahusika na waliposhindwa kupata kile walicho kitaka,wakaamua kufunga milango kwa kufuli yao.
Nikajiuliza inakuwaje mgahawa ambao upo bize kwa wateka kwanini washindwe kulipa KODI?
Au walizoea kufanya kazi kiujanja ujanja?
Poleni sana wateja wenzangu mliozoea kupata chakula mahali hapo.
Wito wangu wangu wafanya biashara kote nchini tulipe kodi,zama zimebadilika hizi!!