Ndugu wana Chadema wenzangu napenda kutoa tahadhari ya hali ya juu... Tusipende kujipa moyo ya kuwa tutashainda.. Tutambue ya kuwa tunachangamoto kubwa sana ya kulikomboa hili jimbo... Lazima chama kiwe na mipango madhubuti... Wenzetu wamejipanga kwa sera chafu na kwa kumwaga hela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.