Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Baada ya vyama hivi vikubwa kupitisha majina ya wagombea wao, macho na masikio ya wananchi yapo kati ya wagombea wawili kutoka CCM na CHADEMA.
Joshua Nassari na Siyoi Summari.
Pamoja na kuwa kulikuwa na pingamizi kwa jina la Siyoi Summari kutokutaka kupitishwa na CC ya CCM kutokana na tuhuma za Rushwa zilizokuwa zinamkabili, sasa imedhihirika kwamba kumbe Mkono wa aliyekuwa anatuhumiwa kutoa rushwa kwenye kura za maoni (EL) ndiye mmiliki na ana mkono mrefu unaoweza hata kufikia CC ya CCM.
Siasa ya Tanzania jama!
Joshua Nassari na Siyoi Summari.
Pamoja na kuwa kulikuwa na pingamizi kwa jina la Siyoi Summari kutokutaka kupitishwa na CC ya CCM kutokana na tuhuma za Rushwa zilizokuwa zinamkabili, sasa imedhihirika kwamba kumbe Mkono wa aliyekuwa anatuhumiwa kutoa rushwa kwenye kura za maoni (EL) ndiye mmiliki na ana mkono mrefu unaoweza hata kufikia CC ya CCM.
Siasa ya Tanzania jama!