Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Mazee, hapo umepiga under the belt!wanawake ni mashetani ninyi... afu mwaji eksipozi wenyewe.......
Mazee, hapo umepiga under the belt!wanawake ni mashetani ninyi... afu mwaji eksipozi wenyewe.......
Mimi shida yangu ni mtandao wa ngoma tu, lkn as long as nobody is hurting; it is a better arrangement! Ingekuwa vyema mume akamuibia naye mshefa!
mmmmmhhhhhhh!!!!!!!!Mwambie mshefa ndo mpango mzima..!mume mume mume kitu gani!
Wapendwa WanaJF.
Natumaini wote mu wazima........naombeni msaada wa namna ya kushauri.
Ni rafiki yetu kifamilia, kwa muda mrefu yeye na mumewe wamekuwa kwenye migogoro ya hapa na pale ya kindoa. Kusema ukweli mumewe amekuwa akimis-behave kwa kipindi ikiwemo kucheat, physical abuse and the like. Mke akawa anaumia, anaconfront wanagombana.. After a while mgogoro ule ukapungua (ile frequency ya wao kuja kushtaki kwetu kesi zao ukapungua na mwisho kuisha kabisa- wadau tukakaa na kumshukuru MUNGU juu ya wokovu huu maana hali ilipokuwa inaelekea ilikuwa inatishia uhai wa ndoa ile).
Juzi kanijia huyo mke ananomba ushauri kama mwanamke mwenzie. Akatoa siri ya mafanikio 'amani' ya miujiza iliyotawala kwenye ndoa yake kwa kipindi kile. Alisema alikujaamua kuwa 'mpole' asimfuatilie mumewe wala asijihangaishe naye....alitafuta 'mshefa' wa pembeni naye akawa anajilia raha kwa nafasi!!!....sikuamini lakini kutokana na matatizo aliyokuwa nayo kipindi kile nadhani nilimwelewa ingawa sikuafiki.
Sasa anadai mumewe amejirekebisha sana na amebadilika na kuwa 'mume' tatizo liko kwake amejikuta amedevelop hisia kali za mapenzi kwa 'Mshefa' kuliko kwa mumewe na kila akijaribu kumuacha huyu jamaa anashindwa maana anasindwa kujicontrol kabisa. Not only that hata 'Mshefa' huyo hana dalili za kumsaidia 'kurudi' kwa mumewe kihisia kwani kila mara anakuwa kama anamblackmail vie kuwa anampenda na eti somehow huyu mwanamke amesababisha kutokuelewana flani kati yake yeye 'Mshefa' na mkewe nyumbani kwake. So kila mdada akijaribu kumuacha 'Mshefa' mshefa anakuja juu kimapenzi yaani anachochea vile.
Mdada anasema mumewe alishagundua juu ya cheatignyake lakini akamsamehe baada ya mke kukiri na kuapa kuacha. Ila sasa ndo anashindwa kihisia yuko kwa 'Mshefa' zaidi ya mumewe. Anaomba msaada afanyeje a'rudishe' mapenzi na hisia kwa mumewe??
Amekiri kuwa alifanya kosa na anajutia kutafuta 'faraja' nje ya ndoa.
Naombeni tumsaidie .....Nitawaacknowledge msijali
Ninapokuata na comment kama hii huwa naishia kucheka tu..................... kwa hiyo ni sawa kwa wanaume kuwa mashetani lakini si kwa wanawake!!! Am learning hard kwa kweli. But nashukuru kwamba wote tunaelewa kuwia ni vitu vinavyotokea kwenye jamii zetu no matter how hard we pretend not to see so kupingana na data si wkeli kuwa tunajiexpose hapa!!Wanawake ndo zenu
Ninapokuata na comment kama hii huwa naishia kucheka tu..................... kwa hiyo ni sawa kwa wanaume kuwa mashetani lakini si kwa wanawake!!! Am learning hard kwa kweli. But nashukuru kwamba wote tunaelewa kuwia ni vitu vinavyotokea kwenye jamii zetu no matter how hard we pretend not to see so kupingana na data si wkeli kuwa tunajiexpose hapa!!
mimi nikigundua tu mama_igwe ka cheat kwa sababu yoyote ile,...kamwe siwezi msamehe hata aombeje huo msamaha,....ndio sheria ya mfumo dume ambao ninauamini na kuufuata,......
Nb:hapa simanishi unyanyasaji wa kijinsia na maanisha baba/mwanaume kama kichwa cha nyumba,........uuuuuuuuuuuh!...puuuuuuuuuuuuuuf...kama mawe nipigeni
Thanks MJ1 ubarikiwe switiiidada .................halafu nimeipenda signature yako.
Kwetu wanasema 'mko muntu irungu' meaning mke wa mtu ni msitu mkubwa,si wa kuchezea. Huyu so called 'mshefa' ni mtu mmoja mjinga na mbinafsi sana,kwake anajenga kwa wenzie anabomoa. Hivi huyu **** kweli anaona ni sawa avuruge nyumba ya mwanaume mwenzie wakati ndoa yake iko intact. Sikiliza MJ1 embu nitafutie namba ya simu ya mke wa huyo mshefa halafu uone nitamfanya nini ( wewe niPM tu unipe hiyo namba).Yeye si anajitia anajua kukoroga ndoa za wenzie wacha na sisi tuvikoroge vya kwake kudadadeki tuone atakavyotapatapa,pumbavu zake kazi kumdanganya binti wa watu na kum manipulate. Na huyo dada mwambie aamke hilo shefa fekii linamtumia tu litaishia kum dump.Umentia hasira MJ1 kwa uzi huu,wallah!
.........IGWE hatuwezi kukupiga mawe, mimi ninakuunga mkono kabisa kwani ninaielewa jamii inizungukayo inalichiukuliaje swala la mwanamke anayecheat. We imagine mwanamke ambaye amefiwa na mumewe hutegemewa kubakia mjane hadi aingie kaburini naye bilakuwa na mahsiano na mtu mwingine sembuse huyu ambaye ana mumewe wa ndoa.!!? Katu haikubaliki.
<br />Karibu my ndugu haya mambo bwana we yaache tu............ najaribu kuomba msaada kwa wanaJF namna ya kumsaidia dada huyu lakini naambulia shutma na kwenye thread hapo nimesema kuwa anajutia kwani keshagundua kakosea lakini naona anarushiwa lawama ila cha kuchekesha Mwanaume akiwa ananyanyaswa na mkewe, akinyimwa unyumba na mkewe hapa hapa tunamshauri amtafutie mkewe mshika zamu wa nje!! Huyu dada amepitia manyanyaso mengi yakiwemo kunyimwa unyumba, kubakwa na mumewe!! kudharauliwa na kutothaminiwa mwisho katoka kutafuta faraja nje matokeo yake analaumiwa ...............nachoka kabisa<br />
<br />
<br />
Enyi waungwana msaidieni basi mawazo ya jinsi atakavyojinasua kwa Mshefa? LOL anataka kurudi kuwa mke mwema jamani!
Mwambie mshefa ndo mpango mzima..!mume mume mume kitu gani!
mshefa si kazi yake ilikuwa kumpa dada 'faraja' wakati wa matatizo? (consolation). Sasa matatizo yameisha na dada atambue kazi ya mshefa imekwisha.
Sweetest, huyu dada bado ana hisia kwa mumewe (za mapenzi/tendo) au ndo basi tu bora kukuche?
Na hivi kama ameamua kiukweli yeye binafsi kwamba anaachana na huyo mshefa mi nadhani ataweza, vinginevyo nadhani alitubu vya mdomoni tu bila kumaanisha.
mshefa si kazi yake ilikuwa kumpa dada 'faraja' wakati wa matatizo? (consolation). Sasa matatizo yameisha na dada atambue kazi ya mshefa imekwisha.
Sweetest, huyu dada bado ana hisia kwa mumewe (za mapenzi/tendo) au ndo basi tu bora kukuche?
Na hivi kama ameamua kiukweli yeye binafsi kwamba anaachana na huyo mshefa mi nadhani ataweza, vinginevyo nadhani alitubu vya mdomoni tu bila kumaanisha.
Karibu my ndugu haya mambo bwana we yaache tu............ najaribu kuomba msaada kwa wanaJF namna ya kumsaidia dada huyu lakini naambulia shutma na kwenye thread hapo nimesema kuwa anajutia kwani keshagundua kakosea lakini naona anarushiwa lawama ila cha kuchekesha Mwanaume akiwa ananyanyaswa na mkewe, akinyimwa unyumba na mkewe hapa hapa tunamshauri amtafutie mkewe mshika zamu wa nje!! Huyu dada amepitia manyanyaso mengi yakiwemo kunyimwa unyumba, kubakwa na mumewe!! kudharauliwa na kutothaminiwa mwisho katoka kutafuta faraja nje matokeo yake analaumiwa ...............nachoka kabisa
Enyi waungwana msaidieni basi mawazo ya jinsi atakavyojinasua kwa Mshefa? LOL anataka kurudi kuwa mke mwema jamani!
sure.....ndio mazingira tuliyozaliwa na kukulia,poleni kama niwakwaza
<br />hii kauli hapo juu imeniondoa kabisa kwenye reli kama sio kunishtua.........................<br />
Hivi kweli ndo tumefikia hapa jamani?<br />
Faraja siku hizi huwa inapatikana kwa the so called <i>mshefa</i>, na sio mume tena?.............<br />
mungu atusamehe bure, maana nzima ya ndoa imeshachakachuliwa hapa...........lol.......