Arsene Wenger

Arsene Wenger

mrangi

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2014
Posts
95,006
Reaction score
134,535
I think its time for you to pack your things and go....tuachie arsenal yetu wewe ushashindwa maajuzi yako yameishia hapo.....
 
Hili jamaa jinga sana waliliambia linunue Striker likagoma, limeharibu sana hii timu kwa miaka mingi sana nadhani bora liondoke tu....
 
Inabidi muanze kuzoea maumivu. Mlipoongoza ligi from September to December mlipa Wenger kila sifa aliyostahili. Sasa naona mmemgeuka.
Traitors!
 
Kukosekana kwa ramsey, walcott, ozil, wilshere ni sawa na liverpool bila Gerald, Sturridge, na Suarez...mtamlaumu wenger bure, kuanzia pale jwa arteta mpaka kwa giroud wale wote walitakiwa wawe subs.
 
Hili jamaa jinga sana waliliambia linunue Striker likagoma, limeharibu sana hii timu kwa miaka mingi sana nadhani bora liondoke tu....
wenger mtu wa ajabu sana mpumbav sana
 
Kukosekana kwa ramsey, walcott, ozil, wilshere ni sawa na liverpool bila Gerald, Sturridge, na Suarez...mtamlaumu wenger bure, kuanzia pale jwa arteta mpaka kwa giroud wale wote walitakiwa wawe subs.
kweli kabisa
 
70% of our players don't deserve to play in Arsenal's shirt.
 
Wenger analaumiwa kwa kosa la namna anavyowatrain wachezaji wake kufikia kila mwaka Arsenal ndio inayoongoza majeruhi, anaulizwa kulikoni! Hata wale wanaojiuguza wanafanya rehab kwenye nchi zao. Ozil yuko kwa madk Ujerumani, Diaby alikuwa anasimamiwa kuwa fit Ufaransa. Arsenal hiyo angepewa Mourinho ingeshashuka daraja siku nyingi.
 
Timu jama chelsea hata akipewa lampard itaperform kama vile ilivo sasa (kwikwikwi)
 
Kwani yule shoga wa kimarekani mwenye hisa nyingi haskii kelele za mashabiki?au ye anaangalia faida tu
 
I think its time for you to pack your things and go....tuachie arsenal yetu wewe ushashindwa maajuzi yako yameishia hapo.....

Mkuu be fair kwa Prof. Wenger. Si mliongoza ligi karibu nusu ya msimu mkiwa na kocha huyo huyo? Saiz amekuwa mbaya?
 
dah hii timu kweli pasua kichwa ila nitaendelea nayo hivi hivi
 
chako ni chako mimi na asernal. kwa sababu. nawapenda toka kwa moyo.
 
Wenger is suffering from insanity. He keeps using same players and tactics expecting a silverware!
 
Ila mbona mlipiga kelele sana msimu huu eti nyie ndo mabingwa msimu huu vipi tena jamaa ..mlishangilia sana mkasahau kwamba arsenal ndo ile ile na wenger ndo yule yule sasa mnalalamika nini me nilitarajia hali ni kama miaka tisa iliopita...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom