Arsenal Vs Bayern Munich. Tutabiri

Naona Bayern wanajaribu kutumia Strategy ya Barca kwenye kufunga.
 
Monreal anahitaji big msaada... Come on!!!!!!
 
Yaani hizi Team za England sijui zina nini!!!!!
 
Arsenal kabanwa kila Kona hana pakushika wanafanya kupunguza idadi tu magoli ila kufungwa ni lazima
 
He he he he he he he he he he he!!!!!!!!!!!
 
Laiti Robben asingekuwa mchoyo yaani angempa mwenzie aliekwenye nafasi nzuri basi sasa hivi tungekuwa tunasoma 2 bila.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…