Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie wakora ndo mnajisifu mna ukuta mgumu sane anapiga chenga toka katikati ya uwanja na mnashindwa kumkaba poor arsenyani
 
Tulieni Hamis masingeli aliwaaminisha Bayern mbovu,, mkajisahau kua ni Bayern ni Giant kwenye mashindano kama haya, ana miaka 15 mfululizo anashiriki na kufika hatua ya 16 bora.

Bayern kweli wabovu ila sio kwa Arsenal hii yenye forward Kai
 
tapeli ball
 

Attachments

  • IMG_20240409_015735.jpg
    186 KB · Views: 8
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…