Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hawa arsenal si wa kuwaamini sana, goool van persie!
 
Asenali wakishinda kama goli tatu au nne nitafurahi zaidi. lakini cha muhimu ushindi. . Au mnasemaje washika bunduki?
 
yule refa ****, anapenda sana kutoa red cards! ile ilikuwa yellow card.

Mkuu Ina maana yule refa ni colour blind. teh teh teh . Au unaweka ushabiki mbele? kama unajua kanuni unataiwa kuelewa asio mfanya kosa alikuwa

  • Ni mtu wa mwisho
  • iikuwa goal scoring opprtunity.
Tupunguze ushabiki wa timu jamani. Tuwe washabiki wa soka kwanza then timu baadaye.

Peasant said:
..........watashindwaje kufunga wakati Bolton wako 10 tu!

haya bana Peasant But kuw 10 Vs 11 sio licence ya draw. Kuna mchezaji 1ja amenunuliwa kwa £50 Million yuko timu kubwa kacheza mechi kama 16 bila hata kufunga goli. Inawezekana na na hii timu yetu ina tatizo hilo. Nadhani unamjua mchezaji mwenyewe
 

Jamaa huyo ushabiki wa timu mbele alafu ndio mpira.hapo unapoteza mda tu kumuelezea anajua yote. Sema ushabiki wa timu ndio unamfanya hawe kipofu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…