Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,385
Point ya msingi ni kwamba Arsenal ka improve sana. wapinzani wetu hawapendi kukubali kwamba tunaongoza ligi kwakuwa tumeongeza ubora. Wanaamini tunaongoza kwasababu wengine wanazingua. Jambo ambalo sio kweli
Josh si Yuko serious zaidi ya babake kwenye masuala ya Arsenal? Labda ndiyo maana kapewa promotion. Halafu huenda wameona kuwa mafanikio ya uwanjani ni uwekezaji bora kwao maana ni rahisi zaidi wao kupiga pesa kama timu inashinda makombe na kutoa burudani kama movie vile
Josh ndiye Kama mtendaji mkuu na yupo karibu Sana na timuJosh si Yuko serious zaidi ya babake kwenye masuala ya Arsenal? Labda ndiyo maana kapewa promotion. Halafu huenda wameona kuwa mafanikio ya uwanjani ni uwekezaji bora kwao maana ni rahisi zaidi wao kupiga pesa kama timu inashinda makombe na kutoa burudani kama movie vile
Umenikumbusha mbali. Mhuni huyu tulikuwa tunamuita Don Raul. Kumbe jizi tuJosh ndiye Kama mtendaji mkuu na yupo karibu Sana na timu
Tim Lewis huyu alikuwa mwanasheria wao kwenye makampuni yao huko USA , walimleta Arsenal maana jamaa ana CV kubwa Sana, alipofika akaaanza na kuwatimua waliokua wanampiga pesa Kroenke ,akiwepo Raul Sanheil ,dili la Pepe na mengine jamaa aliwapiga pesa ndefu ,
Unaambiwa dili la Pepe tu Kroenke alitoa €100m aliambiwa nyingine za mawakala ,Kuna deals za Leno, Toreira zote zilikuwa na upigaji .Huyu jamaa alifanya usafi kwenye management
Wanamuamini Sana kwenye kusimamia Mali zao .
Report: Arsenal investigating* Pepe deal
According to ESPN, Arsenal have held an “internal investigation” into the process that saw the club recruit Nicolas Pepe from Lille for a club record £72 million. James Olley writes that the scope of the financial commitment, which included £20 million upfront and five further instalments, “has...arseblog.news
Tim Lewis alimtimua Raul Sanheil ,walimpiga Sana Pesa Kroenke , Don Raul alipokosea ni kugoma Arteta asipewe mamlaka makubwa , akitaka usajili awe anafanya yeye , pale barcelona madudu mengi alihusika ,kesi ya usajili wa neymar yeye ndiye alihusika pia,Umenikumbusha mbali. Mhuni huyu tulikuwa tunamuita Don Raul. Kumbe jizi tu
Tim Lewis alimtimua Raul Sanheil ,walimpiga Sana Pesa Kroenke , Don Raul alipokosea ni kugoma Arteta asipewe mamlaka makubwa , akitaka usajili awe anafanya yeye , pale barcelona madudu mengi alihusika ,kesi ya usajili wa neymar yeye ndiye alihusika pia,
Alikasirika Sana Arteta kupewa u meneja ,alitaka abakie head coach tu awe mzee wa NDIYO BOSS
Raul Sanllehi claims Arsenal have made a "mistake" with Mikel Arteta role change
The Gunners former head of football operations has had plenty to say about how Arsenal are currently run with the man he helped to appoint as boss in Mikel Artetawww.mirror.co.uk
Former Arsenal head of football Raul Sanllehi has admitted he feels his old employers have made a mistake in changing Mikel Arteta's job title at the Emirates.
The Gunners have tried desperately to find some solid structure in the aftermath of Arsene Wenger's departure back in 201
Unafikiri city watarudia makosa kutupa GundoghanBinafsi naamini katika mgawanyo wa magoli , msimu ujao ile nafasi ya xhaka muweke Gundogan au Smith Rowe au Savic anakupa 10 goals plus 5+ assists
Nafasi ya Odegaard ,LW,CF ,RW kila mmoja anatoa 15+ goals plus 5+ assist
Hapo lazima ubebe Trebble au double
Moja ya kitu wachambuz wanasema kinavuruga muda mwingine shepu ya city ni kumtumia Halland , wachezaji wengi wanamuangalia yeye
Kuna misimu hapa wakati wanatumia false 9 walikuwa wanafunga Goli 100+
Watamuona kazeeka at 32 watatuachia.Unafikiri city watarudia makosa kutupa Gundoghan
Kutuuzia mchezaji nasikia wamesema hawawezi kufanya Tena huo ujingaUnafikiri city watarudia makosa kutupa Gundoghan
Asifichue sana Siri za kambi. Tupo tusiomuelewa ila Cha muhimu ni ushindi na Mataji. Yeye apate hivyo vitu sisi hatutajali mambo ya phases.Arteta anasema hadi Sasa Project ipo phase ya 3 Kati ya 5 ili ikamilike wanavyotaka
Project inaitwa THE ARSENAL WAY (Possession , Overload and kill the Game)
| Mikel Arteta when asked what phase Arsenal is in now:
“Phase 3… Phase 3 is a period of time and we're a little bit ahead of schedule. It's something a little bit private. It's just my understanding and vision of what the club was, and what we have to capture and develop.
“I like to do it looking forward first and then you have to do it backwards. It just my idea of the club and the decisions we have to take to move it forward.”
“Obviously you need a team, all together thinking the same way and in the same direction and we're lucky to have that at the club.” #afc
[@ESPNUK] #afc
Umuelewi Arteta?Asifichue sana Siri za kambi. Tupo tusiomuelewa ila Cha muhimu ni ushindi na Mataji. Yeye apate hivyo vitu sisi hatutajali mambo ya phases.
Saivi tumefurahi kiasi kikubwa kama mashabiki. Hata tusiposhinda kombe msimu huu sidhani kama watu watapanic kama misimu iliyopita
Si unaujua mashabiki wengine hatutaki mambo intellectual sana kwenye mpira. Tunataka tu burudani na ushindi. Hatutaki kuumizwa akili na maneno mengi sijui process sijui phases...hayo tunakutana nayo kwenye maisha yetu na ingawa tunajua mpira uko hivyo pia, hatupendi kusikia. Shinda mechi tena shinda Kwa kutoa burudani, then shinda Mataji. Hiyo ndiyo arsenal wayUmuelewi Arteta?
How?
Edu alisema tuko halfway through the process, wadau wakauliza kama hapa tulipo ni halfway je mzigo ukikamilika itakuaje?Arteta anasema hadi Sasa Project ipo phase ya 3 Kati ya 5 ili ikamilike wanavyotaka
Project inaitwa THE ARSENAL WAY (Possession , Overload and kill the Game)
| Mikel Arteta when asked what phase Arsenal is in now:
“Phase 3… Phase 3 is a period of time and we're a little bit ahead of schedule. It's something a little bit private. It's just my understanding and vision of what the club was, and what we have to capture and develop.
“I like to do it looking forward first and then you have to do it backwards. It just my idea of the club and the decisions we have to take to move it forward.”
“Obviously you need a team, all together thinking the same way and in the same direction and we're lucky to have that at the club.” #afc
[@ESPNUK] #afc
Of course, Arsenal way inaanza burudani mambo ya 'sexy-football' kisha matajiSi unaujua mashabiki wengine hatutaki mambo intellectual sana kwenye mpira. Tunataka tu burudani na ushindi. Hatutaki kuumizwa akili na maneno mengi sijui process sijui phases...hayo tunakutana nayo kwenye maisha yetu na ingawa tunajua mpira uko hivyo pia, hatupendi kusikia. Shinda mechi tena shinda Kwa kutoa burudani, then shinda Mataji. Hiyo ndiyo arsenal way