Arsenal (The Gunners) | Special Thread

logically tunahitaji penetration pass za maana.Kwaninavyoangalia game,ukubwa wa mechi,tempo ya mechi,calmness ya wachezaji,buildup play,phisicality ya wachezaji,technically na tactically I can finally say arteta na watu wake kuna kitu wanafanya na kinaonekana.Hii haitegemei matokeo yatakuwaje
 
Leo lazima tuwajazie nzi humu kenge nyie , sikuhizi kshinda hivyo vimechi viwili mmejaa viburi kauli mbovu mbovu , mmesahau nafasi yenu mnajiona title contender ,
How dare you ?
Bladi ful
ongea kishabik na kimpira kama hivi ulivyozungumza sio huo utoto wa kutuma picha zinazo kuexpose wewe ni mtu wa aina gani.
 
Leo tuna maadui wengi kuanzia refa, VAR mpaka mapimbi wa JF
 
no matter what hapen hii game inakuonyesha sisi tunahatua kubwa mno katika structural play
 
Leo lazima tuwajazie nzi humu kenge nyie , sikuhizi kshinda hivyo vimechi viwili mmejaa viburi kauli mbovu mbovu , mmesahau nafasi yenu mnajiona title contender ,
How dare you ?
Bladi ful
Ngoja mwanangu game iishe Hawa wetu Hawa..
 
Ni aibu refa kukataa goli la Martinelli.. naona hapa wanaumbuliwa kwa goli lingine la namna ile lilivyokubalika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…