Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yaani ukiacha hiyo positioning ya players, goli alilofunga jana Auba na lile aliwafunga Liver kwenye Community Shield hadi pasi aliyotoa Saka na Willian zinafanana na jinsi Auba alivyo pokea mpira na kudribble kabla ya kuscore na pia angle goli lilipo ingilia, almost kila kitu kina fanana.
 
Yaan sio coincidence ,

Kumbe Niles na KT wanafanya movement za kumfata beki wa pemben

Lacazette yeye anamfata CB,

Auba anapata space ,anafunga kilaini
 
"I am really happy. It's only the press that says I'm not happy. From the beginning I've said I am happy at Arsenal and I want to play and win titles. We won a title last month so I am happy with Arsenal."

@LacazetteAlex's full interview after Game yesterday

www.arsenalfc.com
 
Lucas #Torreira wants to return to SerieA. #Arsenal to sell him ask €25M. #Torino are pushing and have offered a loan with option to buy, but Torreira’s salary (€3,2M/year) is too high for #Cairo. Talks ongoing. Also #Fiorentina and #ASRoma looking him. #transfers #AFC
 
Waliponda kwamba Willian kaja kustaafu Arsenal, ila kwa jana alivo kiwasha sijaona hata mmoja anayemzungumzia. Ollachuga Oc leo ndio katokezea, jana alikuwa kajipiga ban.
Willian amna kitu umo..ila anataka kubaki London na timu ha kukimbilia ndo hii arsenal.
 
Arteta on if signing Willian will motivate Pepe:


"Well its not for Nico, I think its for the players that were on the bench & the ones we had to leave home. If they raise their levels then the performances of the team & club are going to improve & this is what I demand from them"
 
With Rob Holding staying surly it means Sokratis and Chambers will/must be sold. Sokratis will go to Italy and hopefully Fulham come in for again for Chambers.

Luiz
Gabriel
Saliba
Mustafi
Marí
 
Tukikutana na Leeds tujipange. Wako vizuri.

Liva imeruhusu magoli 3 tayari. Na ni mapema tu ligi haijafika mbali na kikosi hakijachoka.

Wakikutana na Chelsea itakuaje?

Tukikutana na Leeds itakuaje?
Jioneeni huruma wenyewe maana hali zenu mnazijua.

Leeds anacheza vizuri sana ila Liver naye kajitakia hajafanya sajili na ametoka kuchukua ubingwa msimu huu atapata tabu sana.
 
£10m ni pesa nyingi sana kwa golikipa namba mbili tena kutoka Brentford,hapo ilibidi watoe £1m au £2m ili pesa zingine tuziallocate kwa Aouar.
 
£10m ni pesa nyingi sana kwa golikipa namba mbili tena kutoka Brentford,hapo ilibidi watoe £1m au £2m ili pesa zingine tuziallocate kwa Aouar.

Kuna makipa wana thamani.

Raya ni goalkeeper of the year kwa 2020 kwenye ligi ya championship.

Alifanya 16 clean sheets.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…