Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawa mbwa leo watatutambua. Olachuga tafuta chaka ujifiche nakwambia. Nisikuone jukwaa hili. Leo mnakunywa 4. Utopolo wakubwa nyinyi.
 
Wanangu wa asenali pigeni spana hiyo mbwaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ooho naonaa kama kawaida yenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Arsenal mnaongoza kwa kubeba FA aiseee
 
We are championssss leo tumefanya jambo la maana tungefungwa yangekuwa maumivu we are championsssss kutokucheza mashindano ya ulaya ni maumivu makubwa pole sana kwa wolves
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…