milangomitatu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,469
- 1,167
KAKA BURUDANI TENA HUKU TUNACHUNGULIA CHAMPIONSHIP HAHAHAHAArteta Kama akiwepo baada ya msimu ujao (msimu wa 2021/2022) ndio nitaanza kumjudge na kumdai kwa sasa at least naenjoy kuangalia burudani
Kagugo mkuu au wasubiri kina AaronWe leta statistics .
Pale mbele wanakata viuno tu......Hii Arsenal ina utoto mwingi, tulitakiwa kumaliza gemu mapema kipindi cha pili.
Sent using Jamii Forums mobile app
#POTELEA PWETE LIWALO NA LIWE
Hapigwi mtu wewe tulia nakuja kuchukua point zangu 3 apo nyumban kwenu
Isevu tu mkuu
HII COMMENT NILIANDIKA KWA HERUFI NDOGO ILA NILIULIZA SWALI HALIKUJIBIWA ILA TUANGALIE TAKWIMU ZA ARTETA NA ANCELLOTI MAANA WALIANZA KWA PAMOJA ARSENAL NI TIMU KUBWA NA EVERTON NI TIMU YA KAWAIDA (TUENDELEE KUTAFAKARI)Ndo maana nkasema hivi Arteta sijamkataa kabisa labda hukunielewa Pep Zidane hao uliowataja walipewa timu gani na zenye wachezaji wa aina gani na background yake ipoje?
Arteta kapewa Arsenal ambayo inaendelea kuzama yeye mwenyewe mechi 2 hajashinda sababu haieleweki either wachezaji wabovu au yeye mwenyewe hana experience sio kocha mzuri
mfano Everton ANCELLOTI kacheza mechi 2 na ameshinda zote mbili sababu ni ana experience na anaujua mpira na keshabeba EPL hvyo sio mbahatishaji linaeleweka
Hvyo hata sisi hatuna uhakika na Arteta na tumebaki kuweka hisia zaidi na zaidi kuwa tumpe muda mara mpira wake mzuri tunaishia kujifariji tu bila sababu
Mimi NINGEKUWA NDO CEO WA ARSENAL NIGEMBEBA ANCELLOTI HATA KWA MWAKA 1 MPAKA NIKAE SAWA THEN ARTETA ANGEKUJA WAKATI NIMEKAA SAWA KITIMU ILA KWA SASA NGOJA TUONE HADI MARCH NINI KITATOKEA SABABU BODI INAPENDA VITU RAHISI NA HAWAJUI MPIRA NDO MAANA HAYA YOTE YANATOKEA
LAZIMA TUAMBIANE UKWELI MASHABIKI TUSIPEANE MOYO WA KIJINGA ARTETA NI KAMA KAMARI TUMECHEZA WAKATI TIMU NI MBOVU NA HATUJUI EXPERIENCE YAKE IPOJE
Sent using Jamii Forums mobile app
NILISEMA HII TIMU NAIJUA KWA MIAKA 22 SASA NILISEMA KWA UHAKIKA HIZI MECHI 2 HATUTASHINDA ZOTE NA PIA TUNAWEZA TUSISHINDE HATA MOJA NA COMMENT YANGU HII NILISEMA NAISEVU NIKIWA NA UHAKIKA ASILIMIA 100 NA KAMA ITAENDA TOFAUTI NIONDOLEWE HUMU KUNDINI WAKATI SISI HATUELEWEKI WENZETU WANAZIDI KUPAA HUKU AARON AKISIFU
OHH SASA HIVI TUNACHEZA MPIRA OHH TIMU IMEBADILIKA HUKU NI KUJIPA MATUMAINI HEWA AU MATUMAINI SIFURI NA NEXT GAME NI DHIDI YA CHELSEA NAAPA NAAPA HII MECHI YA CHELSEA TUSIIFUATILIE HAKUNA USHINDI AMBAO TUTAUPATA USHINDI WETU UTAKUWA NI SARE AU KUFUNGWA KABISA TUTAPATA MAUMIVU HYO J4
KICHEKESHO UKIANGALIA MECHI YA MANCITY LEO NDO MAANA NIMEAMINI WHY WANATAKA KUTUUZIA STONES NA UKIONA BODI HAINA AKILI TIMAMU YA ARSENAL WAPO MGONGONI KUMTAKA NDO UONE HII TIMU HAINA NIA NA MAKOMBE MAKUBWA KABISA
ONYO TUPO TOFAUTI YA POINT 7 KUSHUKA DARAJA LOLOTE LINAWEZA KUTOKEA HADI MAY TIMU ISHAJIFIA HII
YAMETIMIA
ARSENAL 1-1 SHEFFIELD UNITED FULL TIME
TUNAOJUA MPIRA TUKISEMA TUNAONEKANA MAMLUKI NAISHIA KUTUKANWA NAIPENDA ARSENAL KWA MIAKA 22 ILA HII TIMU IMEJAA VIVULANA VULANA SIO WANAUME WAPAMBANAJI
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdau hataki maswala ya improvements anahitaji tuwe nyuma ya liva pale tunampumuliaMkuu tumia herufi ndogo,
umeangalia mpira? Huoni some improvements? Arteta anaipeleka timu kwenye njia sahihi. Ni kweli bado timu inafanya makosa kwenye umaliziaji, ila muda ni muhimu ukizingatia tulipotoka.
Mbona City kadraw na Palace kwao? Hatupo kwenye form nzuri kwa sasa ila unapolalamika hata kwa mabadiliko yanayoendelea unachekesha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu mna hasira sana
Hii timu ilikuwa inapigiwa shots 18 mechi moja. Pasi 10 kupiga ilikuwa mtihani, Xhaka anatukanana na mashabiki, Lt11 anataka kuondoka. It was worse under Emery.Mdau hataki maswala ya improvements anahitaji tuwe nyuma ya liva pale tunampumulia
IMPROVEMENT?MECHI 6 TUMESHINDA 1?AU SIJAKUELEWA?Mkuu tumia herufi ndogo,
umeangalia mpira? Huoni some improvements? Arteta anaipeleka timu kwenye njia sahihi. Ni kweli bado timu inafanya makosa kwenye umaliziaji, ila muda ni muhimu ukizingatia tulipotoka.
Mbona City kadraw na Palace kwao? Hatupo kwenye form nzuri kwa sasa ila unapolalamika hata kwa mabadiliko yanayoendelea unachekesha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
ARSENAL HII YA ARTETA NA YA UNAI TOFAUTI KUBWA KUWA SASA HIVI TUNAMILIKI MPIRA NA KUPIGIWA SHOTS CHACHE ILA MATOKEO NI YALE YALE INGEKUWA TUNASHINDA NDO UNGESEMA KUNA IMPROVEMENT TENA USIJE PAYUKA HIVI MBELE YA WAPINZANI WETUMkuu tumia herufi ndogo,
umeangalia mpira? Huoni some improvements? Arteta anaipeleka timu kwenye njia sahihi. Ni kweli bado timu inafanya makosa kwenye umaliziaji, ila muda ni muhimu ukizingatia tulipotoka.
Mbona City kadraw na Palace kwao? Hatupo kwenye form nzuri kwa sasa ila unapolalamika hata kwa mabadiliko yanayoendelea unachekesha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app