Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal have been linked with making a player-plus-cash offer for Leicester ace Wilfred Ndidi in the January transfer.

New Gunners boss Mikel Arteta knows one of his most pressing priorities is to make Arsenal much tougher to beat, with serious questions having been raised over the defence for some time.

Defensive midfielder Ndidi could help give Arsenal's back four some protection, having done so for a Leicester team which has conceded just 14 goals this season - the joint lowest amount in the Premier League along with Liverpool .

And the Gunners are set to offer Granit Xhaka plus £40million as they bid to sign Nigeria international Ndidi, according to Leicestershire Live .
 
Naomba iendelee kuwa tetesi tu,hilo dau kubwa sana...mimi nasema NO.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba iendelee kuwa tetesi tu,hilo dau kubwa sana...mimi nasema NO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo pesa ni kubwa lakini nakuhakikishia huyo dogo Ndidi akija Arsenal akaungana na xhaka pale kwenye kiungo mkabaji halafu akampata Dayot Upamecano ambae ataungana na Chambers, Holding na tule dogo ambaye bado yupo ujerumani hakika tutaanza kutembea baràbarani huku tunatabasamu!.. Tatizo la Arsenal kwa muda mrefu ni beki na viungo wa kati na Ndidi ni moja ya Viungo bora kabisa kwa sasa!.. Kiukweli naanza kumwamini sasa Arteta, maana jana Aroon Arsenal katupia tetesi hapa kuwa tunataka kusajili forward, sasa nokawa nawaza tu hivi tumerigwa na nani?...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arsenal are set to offer Granit Xhaka plus £40m as they bid to sign Nigeria International midfielder Wilfred Ndidi. #LCFC #AFC [@leicslive]
 
Hapo juu nilikuwa namaanisha Ndidi akiungana na Lucas Torreila na Sio shaka maana huyu ndio xhambo chetu cha kumpata huyo Ndidi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back to it again today


First-team training
Media conference

#BOUARS

Sent from my SM-G950F using Tapatalk
 
Niwatakie Christmas njema na kuwapa pole kwa magumu asenali mnayopitia ila mkae mkijua Sheffield na wolves hawana mchezo mchezo mtakosa hata Europa
 
Leo training itaendelea na wachezaji wengi ambao hawakuwepo jana watamuwepo leo


Lkn muhimu kuliko yote, Arteta atafanya press conference leo akizungumzia mechi ijayo. Moja kati ya maswali nayo yatarajia kuulizwa ni kuhusu backroom staffs wake. Mida nahisi itakuwa 10:30 jioni
 
Ndidi namkubalia, lakini sio rahisi Leicester amuachie
 
“I want to attack, I want to dominate the opponent” - Mikel Arteta

I’m actually so excited man!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…