Game tushakufa ,tukutane msimu ujao kwenye FUTUHI .Ila Hanna njia kweli ya kumtimua Kronke manake kwa timu hii msimu ujayo hata FUTUHI tunaweza tusishiriki.Mwisho hongera Chelsea you deserve it.Good night.
Kamati ya Misiba watuletee maturubai na masufuria ya kupikia mapema Mkuu Ollachuga waandaewale vijana wa kuokota watu watakao zimia wakati wa kuaga mwili wa marehemu.