Kuna uwezekano hii ikawa mechi yangu ya mwisho kuitizama, wenger mngethe sana, anaapply theory zake za uchumi ktk timu yetu, baada ya kuchukua watu wa maana. Kuna mizigo anaing'ang'ania (chamberlain, welback, theo) sijui anachukua 10%, kama leo katumia mfumo wa ovyo kabisa, yaani mane na salah wanatiririka, ngojea nijipe likizo mpaka wenger, atakapoondoka naweza nikarudi, sizani kama kutakuwa mabadiliko yoyote