Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Acha mbwembwe wewe, kwani mlianza mkiwa na wachezaji 9? kabla ya kupewa kadi nyekundu mlikuwa mnaongoza kwa goli ngapi?
Kubali tu kuwa mwaka kuna uwezekano mkubwa wa kumtimua Conte.
Kwani huyo Conte ameanza kutabiliwa leo ataondoka si tangu msimu uliopita.
 
Calculations :
P. Cech=> free
Monreal=>2m
Kosielny=>5
Bellarin =>3m
Mustafi =>30m
Chambalain =>7m
Holding =>3m
Ramsey =>8m
Welbek=>free
Ozil =>40m
Lacazate =>44m
Xakha=>18
Walcott =>4
Giroud =>6m
Sanchez =>38m
Total ==>208m
Neymar =>222m

Is this fair?

Sent using Jamii Forums mobile app
wahurumie bado wanamajonzi ya msiba wa jana
 
Hesabu ya jumla kwa wachezaji woooote hailingani na hesabu ya mchezaji mmoja tuuu
Duh! jamani kwani tukichukua nafasi hii kwa kuwafariji tu na kuondoa itakuwaje! haya mambo ya kuanza kukokotoa hisabati yanatoka wapi?
 
Wenger anawasalimia anawapenda sana kuniambia niwakubushe mechi ijayo mnacheza na Liverpool mkae karibu na drip
Liverpool hawatuumizi vichwa, kwani Mpira wao ni tofauti na wale wacheza rubgy waliobebwa na refa
 
Back
Top Bottom