FT
Arsenal 3-0 WHU
Tuna bahati kupata 3 Pts,ingawa tumetawala 2nd half lakini kwa ujumla tunaendelea kucheza ovyo ila pia tumetoka nafasi ya nuksi (6) tumewaachia wenyewe Manure.
Ila Wenger anawachezaji goi goi kama yeye...nguvu hawana mwilini wala kichwani; wachezaji wanaingia ndani ya 18 ya adui zaidi ya Mara 10 hawapati ata goli moja