Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hahaa huyo jamaa hapo juu amenfurahsha.. et, sanchez a.k.a sumu ya panya. hahaa ume pata wap hilo jina? lime mpendeza kinoma.. ila naona sumu yenyewe ina ua ata mamba
 

Hii mechi haikuwa ya kushindwa, Arsenal walikuwa na kila sababu ya kushinda.
 

Arsenal’s Olivier Giroud celebrates scoring with team-mates Mohamed Elneny and Mesut Özil
 

Alexis Sanchez celebrates scoring Arsenal’s first goal.
 

Alexis Sanchez scores his team’s fourth goal past Jordan Pickford
 

Olivier Giroud of Arsenal scores from a header to make it 1-3
 

Olivier Giroud celebrates scoring his sides first goal
 

Jermain Defoe of Sunderland converts the penalty to equalise
 
Kumbe ulikuwa hujui atoto? Mie ni mpenzi mkubwa sana Arsenal pamoja na siku nyingine kunikosesha raha lakini sihamii kokote kama yule Ngongo aliyekuwa mpenzi wa Arsenal baada ya kuona vipigo vimezidi akahamia Machester United nadhani alihama na vipigo maana sasa hivi viko huko MANU. Sikujua kama nawe ni mpenzi wa soka.

Kumbe nawe shabiki wa arsenal
 
Hahaaaaa oooh poor MANU!!
Soka napenda japo sio mfuatiliaji sana.
Naipenda Barca.
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…