Assernal leo mnajihakikishia kutoka kwa maana mnapigwa leo na mkijitihidi sana ni sare. Pia mkumbuke baada ya gemu mnakutana na jamaa anawachinja palepale ili ajihakikishie kupita group stage wakati huo Asernal ndio ana point 1 au 0 kabisa. Huku wale wengine wakiendelea kusonga mbele. Mwaka huu Asernal kazi mnayo