Arsenal (The Gunners) | Special Thread






Khe khe khe khe khe kkhe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eee
 
Last edited by a moderator:
Pamoja sana mkuu Ntuzu yule alitaka tu kukuharibia CV yako ndomana alikufunga wiki ilopoita, jana tushamuweka sawa tayari.....



Kabla ya kuniharibia CV yangu nilimwambia ukweli kua akiona jezi ya Chelsea Basi mpk Damu Yao yote inakua tayari kupambana mpk kufia uwanjani lkn wakiona jezi za timu zingine Basi wanacheza km mchezo Wa kirafiki!

Teh Teh Teh nakumbuka km misimu mitatu hivi iliyopita mlikua pale St James Park mnaongoza kwa goli km 4 hivi sikosei baada ya hapo jamaa wakaanza kurudisha Moja baada ya jingine! Teh Teh Teh gunners mnavituko!
 
Last edited by a moderator:

Hiyo mechi siisahau Ntuzu ilikua ni ile arsenal ya kina Samir Nasri. Walizirudisha kama tumesimama vile
 
Last edited by a moderator:
Hiyo mechi siisahau Ntuzu ilikua ni ile arsenal ya kina Samir Nasri. Walizirudisha kama tumesimama vile



Hahahaaaa vijana Wa Padew ni hatari sn wakiwa kwao! Siku Hiyo Tiote na jamaa mmoja hivi Yuko PSG waliwafanya vibaya sn!
 
Last edited by a moderator:
nahitaji kuunganishwa na mwaarsenal mtanzania anayeishi UK kuna group la whatsap special kwa watanzania,so tungependa kushare nae experience
 

Kumbukumbu zako mbovu mbona huandiki kwamba refa aliwabeba na kumpa red card Diaby? Ongelea diving culture ya Chelsick Phew! Get a life. Vipi mmeshakabidhiwa kombe la November? Khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Kumbukumbu zako mbovu mbona huandiki kwamba refa aliwabeba na kumpa red card Diaby? Ongelea diving culture ya Chelsick Phew! Get a life. Vipi mmeshakabidhiwa kombe la November? Khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



We kweli poyoyo that was just story tu si lazima ukumbuke kila tukio! Naona unabwabwaja hovyo tu!
 
Kumbukumbu zako mbovu mbona huandiki kwamba refa aliwabeba na kumpa red card Diaby? Ongelea diving culture ya Chelsick Phew! Get a life. Vipi mmeshakabidhiwa kombe la November? Khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

We jamaa hv red card ni kwa akili ya upendeleo, af kama vle kesho mtapangwa na Madrid vile
 



Nachikia kwenye kabati la Chelsick walichukua majina ya wezi kutoka Russia .... ... khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…