kwa kweli lile goli ni uzembe wa hali ya juu..inakwaje mabeki wanashindwa hata kumwangusha halafu wanamsindikiza nusu uwanja mzima? enzi zetu tunacheza mwalimu alikuwa anakuwa refa na kiboko pale lazima ule fito safi hapo hapo ground.
kwa kweli lile goli ni uzembe wa hali ya juu..inakwaje mabeki wanashindwa hata kumwangusha halafu wanamsindikiza nusu uwanja mzima? enzi zetu tunacheza mwalimu alikuwa anakuwa refa na kiboko pale lazima ule fito safi hapo hapo ground.
Ngoja tusubiri 2nd half tuone itakuwaje, kuna umuhmu wa Cazorla kuingia na Ozil kupumzika.
But all in all tukiweka Unazi pembeni jamaa walistahili kupata goli kwa kipindi cha kwanza so lets wait for the 2nd half tushuhudie itakuwaje.
Ngoja tusubiri 2nd half tuone itakuwaje, kuna umuhmu wa Cazorla kuingia na Ozil kupumzika.
But all in all tukiweka Unazi pembeni jamaa walistahili kupata goli kwa kipindi cha kwanza so lets wait for the 2nd half tushuhudie itakuwaje.