Arsenal (The Gunners) | Special Thread

nadhani huja angalia vizuri ni HARD na sio MEDIUM HARD.

angalia kwa column ya arsenal utaona rangi ni orange sio red,ukiangalia kwa column ya man utd utaona wameweka red,maana yake ni kwamba arsenal anapocheza na man utd kwake ni medium hard kwa vile sisi ni wanyela tupo nafasi ya saba,ila sisi tunapocheza na arsenal kwetu ni hard kwa vile wao wako kileleni......HAKIKA HUKU NI KUDHALILIKA!
 
Kesho ushindi tu.. Liverpool 1- 3 Arsenal
D. Sturridge
S. Cazorla
Ozil
Per
 


Prof katika hatua za mwisho mwisho za maandalizi ya
mtanange wa mtondogoo kuwabangua Loser fools ......



































Katika hatua za mwisho mwisho kabisa .... .... . COYG



 
Reactions: Mbu
OOooooops BTW huu mtanange kesho ratiba zimekaa kushoto kidogo hivyo mambo yote baada ya midnight kwa saa za bongo, Alaska kama kawa ... .... ..... .. naona washabiki koko wa Manure wanavuta viti chijui nani kawaalika .... .... wao wachubiri zamu yao Wedn ... .. .... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeewazee wa 7th .... ... .
 
Mkuu Wacha1 namuona Wilshere hapo akitrain na Teammates....Kesho Kuna uhakika wa kuwepo??
 
Mtanange ndio unaelekea kuanza kila la kheri kwa GUNNERS.
..COYG...
 
Mara zote records zinaonyesha huyu jamaa akianza kufunga skrtel huwa hiyo game Liverpool inapoteza...so stay tuned
 
......haya #mburukenge njooni huku,
Tushapigwa moja....

Ila mkae hapa mpaka mwisho, mmesikia ee?!... Hahha
 
Game ya Man Utd tulipigwa kidude kikaoza!!! Napo ilikua Set pcs!! Need the Magician AW to come with a strong game plan to win this!!! COYG
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…