Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Balatanda ni mchawi utabiri wakeeeeeeeeeeee.....stunning goal Arshavin Goli tamu sana!
 
The little Russian. nasubiri mpira uishe, siku ile alifunga ma4 lakini hatukushinda mechi. itafurahisha tukiwanyamazisha ze Kop hapo kwao.
 
Torres on his day ni shughuli pevu leo naona kama molari!
 
Prediction yangu ya goli 2-1 imesimama 🙂

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=Ivlp8aVDuxE&feature=related[/ame]
 
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaarrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrssssssssssssssssssshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaviiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiinnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnn
 
naomba hizo dk 2 ziyeyuke haraka. ili nipate usingizi wa raha leo.
 
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaarrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrssssssssssssssssssshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaviiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiinnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnn

Mzee kelele zako hadi huku Zanzibar zimesikika!
 
mtm njoo utepe hongera yetu manake ulijichanganya na masanilo kuongea uchafu wakati unajua masanilo got nothing toloose today.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…