Arseno Chenga aliwajambisha na Ozil, basi wote mkaruka na kusahau matatizo ya msingi yanayoikabili timu.
Ozil ni kila kitu: kipa, beki, kiungo na mshambuliaji. Hivyo tulieni tu, le profeseli Chenga ashasema hasiposhinda taji lolote (sijui alijumulisha na Capital One Cup?!?) hatajiuzulu.