kati hawaelewani na bado hawajafunguwa hakuna creative kule mbele Ramsey anaonekana kama anacheza vizuri lakini anachelewesha kidogo hapeleki mbele timu kunahitajika counter attack ya haraka wanajuwa kuwa Arsenal ukiwaacha kati ndio imekula sasa wanaharibu kati pia wajaribu shuti za mbali najuwa Coach hataka mashuti ya mbali,
Timu itabadilika second half