uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 3,997
- 8,374
Zimebaki mechi saba Arsenal awe bingwa wa Epl 2022/2023
Akitoa maoni yake beki wa zamani wa liverpool carragher amesema
"wachezaji wa Arsenal wanajiona wadogo na wavulana kushindani taji ndio maana wamejawa uoga mwingi"
Ni kweli ukiangalia kikosi chote cha Arsenal mchezaji mtu mzima (aliyekomaa kiakili ni joginyo tu wengine wote ni wavulana
Tuache hayo pembeni ili Arsenal achukue ubingwa anatakiwa ashinde mechi zote na atoe sare na manchester city
Leo Arsenal anacheza ana mechi akishinda ataongeza gape ya point tisa dhidi ya manchester city
Prediction
arsenal 4-1 Southampton
Akitoa maoni yake beki wa zamani wa liverpool carragher amesema
"wachezaji wa Arsenal wanajiona wadogo na wavulana kushindani taji ndio maana wamejawa uoga mwingi"
Ni kweli ukiangalia kikosi chote cha Arsenal mchezaji mtu mzima (aliyekomaa kiakili ni joginyo tu wengine wote ni wavulana
Tuache hayo pembeni ili Arsenal achukue ubingwa anatakiwa ashinde mechi zote na atoe sare na manchester city
Leo Arsenal anacheza ana mechi akishinda ataongeza gape ya point tisa dhidi ya manchester city
Prediction
arsenal 4-1 Southampton