uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 3,980
- 8,333
Kusema ukweli arsenal ni timu ya kawaida na ya wavulana na upepo umewaendea vizuri
Pamoja na ubovu wake arsenal odds za kuchukua ubingwa zipo kwake zaidi kuliko manchester city
Hizi ndio sababu zinazompa odds nyingi arsenal kubeba ubingwa
Amebaki na mechi za Epl tu tofauti na mshindani wake manchester city ambaye yupo busy kwenye mashindano matatu
Kisaikolojia wachezaji wa arsenal wapo settled inaelekea wanasaikolojia wanashinda kiwanja cha emirates
Arsenal anaongoza ligi kwa point tano
Arsenal hana mechi ngumu ukilinganisha na manchester city
Wengi wanasema newcastle ni mechi ngumu kwa arsenal ila sio kweli,kwa uchezaji wa arsenal hiyo mechi ni rahisi sana atashinda zaidi ya goli nne
Manchester city atapoteza dhidi ya brighton, brentford, na west ham kutokana na uchovu wa uefa km hatatolewa kwenye uefa
Hivyo mashabiki wa arsenal waombe sana Manchester City asibanduliwe uefa na Bayern,akibanduliwa Arsenal kwisha
Na arsenal ikichukua ubingwa itakuwa kikosi kibovu zaidi kuwahi kubeba ubingwa pale Epl
Tuombe Pep abanduliwe uefa abaki na Epl match tu
Pamoja na ubovu wake arsenal odds za kuchukua ubingwa zipo kwake zaidi kuliko manchester city
Hizi ndio sababu zinazompa odds nyingi arsenal kubeba ubingwa
Amebaki na mechi za Epl tu tofauti na mshindani wake manchester city ambaye yupo busy kwenye mashindano matatu
Kisaikolojia wachezaji wa arsenal wapo settled inaelekea wanasaikolojia wanashinda kiwanja cha emirates
Arsenal anaongoza ligi kwa point tano
Arsenal hana mechi ngumu ukilinganisha na manchester city
Wengi wanasema newcastle ni mechi ngumu kwa arsenal ila sio kweli,kwa uchezaji wa arsenal hiyo mechi ni rahisi sana atashinda zaidi ya goli nne
Manchester city atapoteza dhidi ya brighton, brentford, na west ham kutokana na uchovu wa uefa km hatatolewa kwenye uefa
Hivyo mashabiki wa arsenal waombe sana Manchester City asibanduliwe uefa na Bayern,akibanduliwa Arsenal kwisha
Na arsenal ikichukua ubingwa itakuwa kikosi kibovu zaidi kuwahi kubeba ubingwa pale Epl
Tuombe Pep abanduliwe uefa abaki na Epl match tu