Thread ya 2010-Alishakufa muda mrefu, inaonekana taarifa hamna kabisa, nendeni google itawajibu.
Thread ya 2010-Alishakufa muda mrefu, inaonekana taarifa hamna kabisa, nendeni google itawajibu.
Hii thread ni ya zamani na ilijadiliwa wakati Sharon akiwa on coma... usijifanye unajua kumbe unaungua na jua...Alishakufa muda mrefu, inaonekana taarifa hamna kabisa, nendeni google itawajibu.
Aisha kufa hukusikia?Kuna watu inawezekana hawatakiwi mbiguni wala duniani? yuko kwenye coma since 4/01/2006 todate!
"Ogopa maombi ya mwenye kudhulumiwa"
Hahahaha haki ya Nani JF shule!Hii thread ni ya zamani na ilijadiliwa wakati Sharon akiwa on coma... usijifanye unajua kumbe unaungua na jua...
Ibada njema inaanzia Nyumbani
Mkeo ndio anaitwa Aisha?Aisha kufa hukusikia?
Na wewe kichwani umehamisha akili umeweka maboga! unaposoma thread tizama imewekwa humu lini na sio unakuja mbio unashebedua ovyo ovyo tu.... hii thread kwa umri wake ni history tayari so huna la kubadilisha katika History... kuwa mpole uwe msomaji tu.Aisha kufa hukusikia?