Arfi kuondoka CCM


ukisikia UPWEKE ndio huo
 
Siasa za tanzania ni zaidi ya sana kuanzia vyama vya upinzani hadi ccm wote hawana maana
 
Hahahaaaaa hiyo kali na huko akish


Hahahaaaa na huko anakokwenda asipochaguliwa upuuzi huu
 
Pole na ubinafsi wako, siku hizi CCM ni kama zamani, watu kama wewe hamna nafasi.
 
Arudii TLP ila wakimzingua ajaribu kucheki na ACT😆
 

Dah hatar atatangatanga mpaka mwshowe atakiunga na chama cha madereva
 
Huyu hata act hatakiwi kama anaona ni rahisi kushinda kupitia vyama vya siasa.
Akanzishe chama chake.
Alikwepa kuvunja msitu kupitia act sasa kwa ajiri kakatwa anarudi kinyumenyume,hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi.
 
Na wengine wajifunze, ccm ni wataalamu wa kurubuni, kuahidi na kutotekeleza. Wengi wataachwa kwenye mataa.
 
Arfi ni msaliti, kwa hiyo hanabudi kusalitiwa. Muosha huoshwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…