shumbimadelu
Senior Member
- Jan 8, 2013
- 185
- 64
Ndugu wanajamvi,huyu jamaa ambae ni makamu mwenyeketi wa CHADEMA taifa na ni mbunge wa Mpanda kati au mpanda mjini ila huyu hana alilofanya hapa jimboni kwake.Tangu awe mbunge, vijana wengi wamekihama chama,mashina mengi ya CHADEMA hapa mjini yamevunja na kuwekwa bendera za CCM pia jamaa anaendeleza makundi na majungu na hataki kuambiwa ukweli na ndio maana alitupa kadi ya chama alipoulizwa na vijana juu ya maendeleo ya chama.
Mbunge anahusishwa kutumiwa na mheshimiwa PINDA kuiua CHADEMA hapa Mpanda eti sababu yeye hagombei tena ubunge.Cha maana alichofanya mpaka sasa ni kumlipia mzee mmoja aliyempigia kampeni chakula kwa msomali mmoja panaitwa madini cafetaria na anamlipia kwa mwezi.
Sasa ni mwezi wa tatu sasa ofisi ya CHADEMA hapa MPANDA MJINI imefungwa sababu wameshindwa lipa kodi ya pango.Haonekani ofisini kwake na ofisi yake inatia aibu kwa kujaa maji katika kipindi hiki cha mvua mkoani humu. Najitahidi kuapload picha kuonesha ofisi ya mbunge ilivyojaa maji na yaliyokuwa mashina ya CHADEMA ambayo sasa yamewekwa bendera za CCM lakini inashindikana.
Mbunge anahusishwa kutumiwa na mheshimiwa PINDA kuiua CHADEMA hapa Mpanda eti sababu yeye hagombei tena ubunge.Cha maana alichofanya mpaka sasa ni kumlipia mzee mmoja aliyempigia kampeni chakula kwa msomali mmoja panaitwa madini cafetaria na anamlipia kwa mwezi.
Sasa ni mwezi wa tatu sasa ofisi ya CHADEMA hapa MPANDA MJINI imefungwa sababu wameshindwa lipa kodi ya pango.Haonekani ofisini kwake na ofisi yake inatia aibu kwa kujaa maji katika kipindi hiki cha mvua mkoani humu. Najitahidi kuapload picha kuonesha ofisi ya mbunge ilivyojaa maji na yaliyokuwa mashina ya CHADEMA ambayo sasa yamewekwa bendera za CCM lakini inashindikana.