Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
Jamaa alikuwa ametulia Beach, Mzungu akapita akamuuliza "Are u relaxing?" Jamaa hakuelewa akajibu tu "NO" Akapita mwingine akamuuliza vilevile akajibu "NO" Alipoona hapa anasumbuliwa sana, Akasogea mbele kidogo ya Ufukwe, Akamuona Mzungu mmoja ametulia akamuliza "Are u relaxing?" Mzungu akajibu "YES" Jamaa akamkata Makofi mawili na kumwambia "Pumbavu Kumbe we ndo Relaxing!? Inuka hapo unatafutwa na wenzako! Sheenz! Mi naulizwa ulizwa pale we unaangalia tuuuu.!!!".