Freelancer
JF-Expert Member
- Sep 22, 2008
- 2,965
- 2,141
sisi ni wadogo zako kwa hiyo...Freelancer Mr Q de'levis Yericko Nyerere Matola
Espionage kama taaluma kuna mambo chungu zima.
--- kukamata majaususi wa adui wanao operate ndani ya nchi na Ku intercept mipango yao.
--- kuna kufuatilia mienendo ya viongozi wa serikali wa ngazi za juu pamoja na watumishi wa idara husika ya ujasusi kama wanaenenda na viapo vyao ( oath of office )
--- kulinda miundo mbinu muhimu kwa nchi kama petroleum pamoja na food reserves dhidi ya mashambulizi ya adui.
--- majasusi wa kijeshi (military intelligence) wao wanafanya tathmini ya hatari ya uvamizi wa kijeshi kutoka nchi yoyote ya jirani pamoja na ku verify military readiness ya jeshi kwenye kujibu mashambulizi ya ghafla ya adui.
--- intelligence inawezesha kupatikana kwa taarifa zitazowezesha policy makers kuunda sera za mahusiano ya nchi za nje pamoja na namna nzima ya kuendesha serikali.
Ujasusi ni somo moja refu sana wadogo zangu.
hiyo yote ni common sense..Freelancer Mr Q de'levis Yericko Nyerere Matola
Espionage kama taaluma kuna mambo chungu zima.
--- kukamata majaususi wa adui wanao operate ndani ya nchi na Ku intercept mipango yao.
--- kuna kufuatilia mienendo ya viongozi wa serikali wa ngazi za juu pamoja na watumishi wa idara husika ya ujasusi kama wanaenenda na viapo vyao ( oath of office )
--- kulinda miundo mbinu muhimu kwa nchi kama petroleum pamoja na food reserves dhidi ya mashambulizi ya adui.
--- majasusi wa kijeshi (military intelligence) wao wanafanya tathmini ya hatari ya uvamizi wa kijeshi kutoka nchi yoyote ya jirani pamoja na ku verify military readiness ya jeshi kwenye kujibu mashambulizi ya ghafla ya adui.
--- intelligence inawezesha kupatikana kwa taarifa zitazowezesha policy makers kuunda sera za mahusiano ya nchi za nje pamoja na namna nzima ya kuendesha serikali.
Ujasusi ni somo moja refu sana wadogo zangu.
sorry hatujuani umri of coursesisi ni wadogo zako kwa hiyo...
lakini ndicho kinachofanyika in actual senseshiyo yote ni common sense..
Ona mfano huyu mama SA akizungumzia majukumu ya intelijensia ya South Africa ambayo basically inteligensia zote dunia hufanya. Hayatofautiani na unachokisema ndo maana nikasema hiyo ni common knowledge.lakini ndicho kinachofanyika in actual senses
hakuna spy anayeruhusiwa kuandika mada za espionage kwenye mitandao ya kijamii kama jamiiforums. Huyu mleta mada ni mtoto wa secondary inaonekana ndio anajifunza udadisi wa taaluma za watu wazimaWat if mleta uzi ndio kazi yako?,na hapa wakusanya info then uwaclishe report?
wewe unayejiita Infantry Soldier Kuna tofauti gani kati ya espionage na intelligence gathering activities?Special thread for discussing espionage business and other closely related issues:
Bila shaka wote mu wazima wa afya humu JF.
Kama ambavyo heading inavyojielezea hapo juu ni swali nililokuwa nikijiuliza kwa muda mrefu sasa kama uwezo wa hawa watu (spies/intelligence officers) huwa ni wa mafunzo au wanazaliwa wakiwa tayari ni spies?
Ninawasilisha mjadala.
Naomba kuwasilisha
Kwa sababu unaandika kimaandazi sanaMr Q
Siku hizi huwa ninavamiaga jukwaa la siasa kisha wanafungia mada zangu.
Rais Magufuli, CDF mpelekeni Tundu Lissu mahakama ya kijeshi - court Marshall
Kumbe unacopy na kupaste? Same reply kwenye post zaidi ya tatu bila kubadilisha hata nukta!!Freelancer Mr Q de'levis Yericko Nyerere Matola
Espionage kama taaluma kuna mambo chungu zima.
--- kukamata majaususi wa adui wanao operate ndani ya nchi na Ku intercept mipango yao.
--- kuna kufuatilia mienendo ya viongozi wa serikali wa ngazi za juu pamoja na watumishi wa idara husika ya ujasusi kama wanaenenda na viapo vyao ( oath of office )
--- kulinda miundo mbinu muhimu kwa nchi kama petroleum pamoja na food reserves dhidi ya mashambulizi ya adui.
--- majasusi wa kijeshi (military intelligence) wao wanafanya tathmini ya hatari ya uvamizi wa kijeshi kutoka nchi yoyote ya jirani pamoja na ku verify military readiness ya jeshi kwenye kujibu mashambulizi ya ghafla ya adui.
--- intelligence inawezesha kupatikana kwa taarifa zitazowezesha policy makers kuunda sera za mahusiano ya nchi za nje pamoja na namna nzima ya kuendesha serikali.
Ujasusi ni somo moja refu sana wadogo zangu.
Nime copy na ku paste kwenye thread zingine ili wanaopenda kujifunza basics nao wapate nafasi ya kusoma na kujifunza kama mimi. Knowledge sharing si jambo bayaKumbe unacopy na kupaste? Same reply kwenye post zaidi ya tatu bila kubadilisha hata nukta!!
umeelezea kidogo sana dadaa yangu. Ongezea vinyama nyama kidogo ili na sisi tunaojifunza tupate ufahamu wala mwanga kidogoFreelancer Mr Q de'levis Yericko Nyerere Matola
Espionage kama taaluma kuna mambo chungu zima.
--- kukamata majaususi wa adui wanao operate ndani ya nchi na Ku intercept mipango yao.
--- kuna kufuatilia mienendo ya viongozi wa serikali wa ngazi za juu pamoja na watumishi wa idara husika ya ujasusi kama wanaenenda na viapo vyao ( oath of office )
--- kulinda miundo mbinu muhimu kwa nchi kama petroleum pamoja na food reserves dhidi ya mashambulizi ya adui.
--- majasusi wa kijeshi (military intelligence) wao wanafanya tathmini ya hatari ya uvamizi wa kijeshi kutoka nchi yoyote ya jirani pamoja na ku verify military readiness ya jeshi kwenye kujibu mashambulizi ya ghafla ya adui.
--- intelligence inawezesha kupatikana kwa taarifa zitazowezesha policy makers kuunda sera za mahusiano ya nchi za nje pamoja na namna nzima ya kuendesha serikali.
Ujasusi ni somo moja refu sana wadogo zangu.
Ndo amekariri hicho tuumeelezea kidogo sana dadaa yangu. Ongezea vinyama nyama kidogo ili na sisi tunaojifunza tupate ufahamu wala mwanga kidogo
They have special training on how to fool their opponents. Any unauthorized or uncleared person kwao ni opponent. Hivyo kuacha loophole ya wewe kuweza kumnusa na kumgundua majukumu yake hilo ni kosa kubwa sana. Endapo itagundulika ameanza mienendo itakayopelekea cover yake kuwa blown up anaweza badilishiwa majukumu ama kupumzishwa moja kwa moja kulingana na uzito wa kosa husikaAsante sana kwa mleta maada kuna mtu wangu wa karibu ninemchunguza tangu huu mwaka uanze na ninaona ana uelekeo na hawa watu ni mtu wa karibu sana yaani (mimi ni damu yake) ni viashiria gani nitatumia kumjua.
Nataka nipate uhakika tu kama kweli anaifanya hii kazi nikiridhika nitaacha aendelee na mambo yake ila sitaki ajue kama namchunguza.
Duh hao jamaa sijui huwa wana chukua ukiwa na umri ganSpecial thread for discussing espionage business and other closely related issues:
Bila shaka wote mu wazima wa afya humu JF.
Kama ambavyo heading inavyojielezea hapo juu ni swali nililokuwa nikijiuliza kwa muda mrefu sasa kama uwezo wa hawa watu (spies/intelligence officers) huwa ni wa mafunzo au wanazaliwa wakiwa tayari ni spies?
Ninawasilisha mjadala.
Naomba kuwasilisha
hata mimi sijuiDuh hao jamaa sijui huwa wana chukua ukiwa na umri gan
Msomeni The bold nimeipenda makala yakeThey have special training on how to fool their opponents. Any unauthorized or uncleared person kwao ni opponent. Hivyo kuacha loophole ya wewe kuweza kumnusa na kumgundua majukumu yake hilo ni kosa kubwa sana. Endapo itagundulika ameanza mienendo itakayopelekea cover yake kuwa blown up anaweza badilishiwa majukumu ama kupumzishwa moja kwa moja kulingana na uzito wa kosa husika
Freelancer de'levis